-
Kuongezeka mpasuko na utesi wa kisiasa katika serikali tete ya utawala wa Kizayuni
Dec 09, 2021 06:19Mamia ya wakati wa Tel-Aviv, makao makuu ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kupinga serikali ya nchi hiyo wakishinikiza kujiuzulu waziri mkuu Naftali Bennett na kutaka arejee madarakani Benjamin Netanyahu.
-
Kuporomoka nduli wa Israel na kumalizika miaka 12 ya uwaziri mkuu wa Netanyahu
Jun 14, 2021 23:25Hatimaye nduli wa Israel, Benjamin Netanyahu ameporomoka kama walivyoporomoka makatili na nduli wote. Jumapili, Juni 13, 2021 bunge la utawala wa Kizayuni liliitisha kikao na kupasisha baraza jipya la mawaziri la Israel na kumbwaga Benjamin Netanyahu.
-
Netanyahu atupwa nje, Waisraeli washangilia, dunia yapongeza
Jun 14, 2021 03:38Benjamin Netanyahu ametimuliwa madarakani na kufikia tamati utawala wake wa miaka 12 katika utawala wa Kizayuni wa Israel. Hii ni baada ya bunge la utawala huo haramu (Knesset) kupiga kura ya kuidhinisha serikali mpya ya muungano jana Jumapili.
-
Jihad Islami: Kuondolewa Netanyahu madarakani ni miongoni mwa mafanikio ya operesheni ya "Panga la Quds"
Jun 04, 2021 22:01Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa moja kati ya matunda ya opesheni ya "Panga la Quds" ni kuondolewa madarakani Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Zarif: Netanyahu naye pia ametupwa katika jaa la taka za historia; Iran inasimama kwa heshima
Jun 04, 2021 03:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria mchakato wa kuondolewa Benjamin Netanyahu katika nafasi ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, Netanyahu pia ametupwa katika jaa la taka za historia.
-
Waziri wa vita wa Israel: Litakuwa ni balaa kama Netanyahu ataunda serikali
Apr 05, 2021 02:51Waziri wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema litakuwa ni balaa kama Benjamin Netanyahu ataunda baraza la mawaziri la utawala huo ghasibu.
-
Ushindi na utengano kwa wakati mmoja katika kambi ya mrengo wa kulia huko Israel
Mar 29, 2021 00:11Baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Bunge huko Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) imefahamika kwamba, kwa mara nyingine tena kambi ya mrengo wa kuliai meibuka na ushindi katika uchaguzi huo.
-
Netanyahu afuta safari yake Imarati kwa kuihofu harakati ya Ansarullah
Mar 14, 2021 23:36Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa amefuta safari yake katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kuhofu mashambulizi ya makombora ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
-
Mrithi wa ufalme wa Saudia yuko tayari kwenda UAE kukutana na waziri mkuu wa Israel
Mar 11, 2021 03:48Duru za kuaminika katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeripoti kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman yuko tayari kukutana na waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wakati kiongozi huyo wa Kizayuni atakapokuwa safarini huko Abu Dhabi.
-
Netanyahu kizimbani kujibu mashitaka ya ufisadi, maandamano yashtadi
Feb 08, 2021 08:34Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amepandishwa kizimbani, kujibu mashitaka ya ufisadi yanayomkabili, huku faili lake likifunguliwa upya wiki chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa Bunge.