Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • 27 wauawa katika shambulio la watu wenye silaha katika jimbo la Plateau, Nigeria

    27 wauawa katika shambulio la watu wenye silaha katika jimbo la Plateau, Nigeria

    Jul 15, 2025 17:16

    Watu wasiopungua 27 wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha kaskazini kati mwa jimbo la Nigeria la Plateau, katika machafuko ya hivi karibuni yaliyolikumba eneo hilo ambalo halina usalama wa kutosha.

  • Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia Uingereza alikokuwa matibabuni

    Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia Uingereza alikokuwa matibabuni

    Jul 13, 2025 18:27

    Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria aliyewahi pia kuitawala nchi hiyo kijeshi amefariki dunia mjini London, Uingereza alikokuwa kipatiwa matibabu akiwa na umri wa miaka 82.

  • Nigeria: US inazilazimisha nchi za Afrika ziwapokee wakimbizi Wavenezuela

    Nigeria: US inazilazimisha nchi za Afrika ziwapokee wakimbizi Wavenezuela

    Jul 11, 2025 16:41

    Nigeria imefichua kuwa Marekani inazishinikiza nchi za bara Afrika kuwakubali wakimbizi wa Venezuela wanaofukuzwa nchini Marekani.

  • Asasi: Waasi, majambazi  Nigeria wameua zaidi katika nusu ya kwanza ya 2025 kuliko 2024

    Asasi: Waasi, majambazi Nigeria wameua zaidi katika nusu ya kwanza ya 2025 kuliko 2024

    Jul 08, 2025 14:34

    Idadi ya watu waliouawa na majambazi au waasi nchini Nigeria katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, ni kubwa mno kuliko idadi ya waliouawa mwaka wote wa 2024, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa jana Jumanne na shirika la haki za binadamu la Nigeria.

  • Kadhaa wauawa na kujeruhiwa Nigeria katika shambulio la Boko Haram

    Kadhaa wauawa na kujeruhiwa Nigeria katika shambulio la Boko Haram

    Jul 07, 2025 06:56

    Kwa akali watu tisa wameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Boko Haram dhidi ya jamii ya Malam Fatori katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Sheikh Zakzaky aipongeza Iran kwa kuibuka mshindi dhidi ya Israel

    Sheikh Zakzaky aipongeza Iran kwa kuibuka mshindi dhidi ya Israel

    Jul 06, 2025 14:42

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amepongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuichakaza na kuibuka mshindi dhidi ya Israel katika vita vya siku 12.

  • Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

    Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

    Jun 16, 2025 07:08

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.

  • Watu 200 wafariki dunia kwa janga la mafuriko Nigeria

    Watu 200 wafariki dunia kwa janga la mafuriko Nigeria

    Jun 04, 2025 05:51

    Mafuriko makubwa yaliyotokea kaskazini mwa Nigeria wiki iliyopita yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 200.

  • Wasomi Nigeria: Falsafa ya Imam Khomeini ni kuwa, uongozi unatokana na watu

    Wasomi Nigeria: Falsafa ya Imam Khomeini ni kuwa, uongozi unatokana na watu

    Jun 02, 2025 06:45

    Wasomi nchini Nigeria wamesisitiza kuwa, alama kuu ya kumbukumbu na urithi wa Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomein (MA) ni msimamo wake kuwa mamlaka na nguvu za uongozi zipo mikononi mwa wananchi.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno

    May 31, 2025 10:21

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaua wanachama 60 wa kundi la kigaidi la Boko Haram baada ya kuzima shambulio dhidi ya kambi ya kijeshi huko Bita, eneo la Gwoza, kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS