Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Nigeria yafunga shule katika jimbo la Kwara kufuatia ongezeko la ukosefu wa usalama

    Nigeria yafunga shule katika jimbo la Kwara kufuatia ongezeko la ukosefu wa usalama

    Nov 20, 2025 23:31

    Mamlaka husika katika Jimbo la Kwara nchini Nigeria zimefunga shule zote katika eneo la Iflodun, Ekiti, Irepodun, Isin na Oke Ero kufuatia vitisho vipya vya usalama katika jimbo hilo.

  • Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi

    Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi

    Nov 19, 2025 08:54

    Rais wa Nigeria amethibitisha kuwa Brigedia jenerali Musa Uba ameuawa na kundi la kigaidi akiwa matekani. Mauaji hayo yamefanywa siku chache baada ya afisa huyo wa ngazi ya juu wa jeshi la Nigeria kutekwa nyara na wanamgambo wa kundi la ISWAP kufuatia shambulio la kuvizia kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno ambalo pia liliwaua wanajeshi wanne.

  • Mkuu wa jeshi la Nigeria aagiza kutafutwa usiku na mchana mabinti wa shule waliotekwa nyara

    Mkuu wa jeshi la Nigeria aagiza kutafutwa usiku na mchana mabinti wa shule waliotekwa nyara

    Nov 18, 2025 22:53

    Jenerali wa ngazi ya juu wa jeshi la Nigeria ameviagiza vikosi vya jeshi hilo kuendesha msako wa "usiku na mchana" ili kuwanusuru mabinti 25 wa shule waliotekwa nyara kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 200 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu ya kigaidi nchini Nigeria

    Magaidi 200 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu ya kigaidi nchini Nigeria

    Nov 10, 2025 23:26

    Mapigano kati ya makundi hasimu ya kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya magaidi wasiopungua 200 katika eneo la Ziwa Chad.

  • Waislamu na Wakristo wa Nigeria wapinga vitisho vya Trump

    Waislamu na Wakristo wa Nigeria wapinga vitisho vya Trump

    Nov 04, 2025 23:41

    Waislamu na Wakristo wa Nigeria wamesisitiza kuishi pamoja kwa amani na maelewano na kusema kuwa vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya nchi hiyo havikubaliki.

  • Nigeria yapinga vikali vitisho vya Trump, yasema mamlaka yake ya kujitawala hayajadiliwi

    Nigeria yapinga vikali vitisho vya Trump, yasema mamlaka yake ya kujitawala hayajadiliwi

    Nov 02, 2025 07:11

    Serikali ya Nigeria imepinga vikali uingiliaji wowote wa kigeni katika mambo ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kwamba "mamlaka ya kitaifa hayawezi kujadiliwa," na kwamba inachunguza matukio ya hivi karibuni na kuwafuatilia wale wote waliohusika.

  • Trump atishia kuishambulia kijeshi Nigeria kwa tuhuma za alichokiita 'kuuliwa raia Wakristo wapendwa'

    Trump atishia kuishambulia kijeshi Nigeria kwa tuhuma za alichokiita 'kuuliwa raia Wakristo wapendwa'

    Nov 02, 2025 02:56

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kufanya mashambulizi ya kijeshi ndani ya ardhi ya Nigeria kutoa mjibizo kwa alichodai kuwa ni ukatili wanaofanyiwa Wakristo, akisema ameiagiza Wizara yake ya Vita aliyoipa jina hilo jipya hivi karibuni "kujiandaa kwa hatua zinazowezekana" kuchukuliwa.

  • Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yataka kuachiliwa wanaharakati wa Sumud

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yataka kuachiliwa wanaharakati wa Sumud

    Oct 10, 2025 02:55

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Gaza, na kutaka kuachiwa mara moja kwa raia wa Nigeria na wa mataifa mengine waliotekwa nyara na kuzuiliwa na askari wa majini wa Kizayuni.

  • Wanigeria waandamana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Wanigeria waandamana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Oct 04, 2025 02:34

    Waislamu kote nchini Nigeria waliingia barabarani baada ya Swala ya Ijumaa hapo jana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa Sumud, wenye makumi ya meli zinazoelekea katika Ukanda wa Gaza.

  • Wafanyakazi wa sekta ya mafuta Nigeria waendelea na mgomo wakipinga kupunguzwa wafanyakazi katika kiwanda cha Dangote

    Wafanyakazi wa sekta ya mafuta Nigeria waendelea na mgomo wakipinga kupunguzwa wafanyakazi katika kiwanda cha Dangote

    Sep 30, 2025 08:28

    Ofisi za idara ya Udhbiti wa Mafuta na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Nigeria zimefungwa kutokana na mgomo wa kitaifa ulioanzishwa na jumuiya ya wafanyakazi wa sekta ya mafuta baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote kuwafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 800.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS