• Lassa yaua watu 118 Nigeria ndani ya miezi mitatu

    Lassa yaua watu 118 Nigeria ndani ya miezi mitatu

    Apr 01, 2025 10:35

    Homa ya Lassa imeua watu 118 nchini Nigeria katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu. Hayo yamesemwa na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha nchi hiyo ya Afrika Magharibi (NCDC).

  • Ukatili wa Polisi Dhidi ya Waandamanaji wa Siku ya Kimataifa Quds Nchini Nigeria

    Ukatili wa Polisi Dhidi ya Waandamanaji wa Siku ya Kimataifa Quds Nchini Nigeria

    Apr 01, 2025 02:39

    Katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika nchini Nigeria Ijumaa kwa kushirikisha mamia ya Waislamu na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo – kwa lengo la kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina na kulaani uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel– maafisa wa polisi wa Nigeria walifyatua risasi dhidi ya waandamanaji. Tukio hilo lilisababisha waandamanaji wasiopungua 18 kuuawa shahidi, wengine kujeruhiwa, na wengi kukamatwa.

  • Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Mar 30, 2025 11:12

    Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kuandika: "Ukandamizaji na kumwagwa damu za waandamanaji wa Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Nigeria na kuuawa shahidi kidhulma Waislamu 18 waliokuwa kwenye saumu ya Ramadhani kunaonesha hofu ya watawala wa Nigeria kuhusu mwamko wa Waislamuj na nafasi ya kiistratijia ya Siku ya Kimataifa ya Quds duniani."

  • Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Mar 27, 2025 11:08

    Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa magenge ya kigaidi wamefanya mashambulizi yaliyoratibiwa dhidi ya kambi ya jeshi la Cameroon karibu na Ziwa Chad na dhidi ya kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria, na kuua takriban wanajeshi 16.

  • Nigeria yathibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa

    Nigeria yathibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa

    Mar 13, 2025 02:21

    Nigeria imethibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa, ugonjwa ambao umesambaa katika eneo la magharibi mwa Afrika.

  • Mripuko wa homa ya uti wa mgongo waua makumi Nigeria

    Mripuko wa homa ya uti wa mgongo waua makumi Nigeria

    Mar 12, 2025 07:05

    Watu wasiopungua 26 wameaga dunia kutokana na mripuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo (Meningitis) katika Jimbo la Kebbi kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Feb 24, 2025 03:06

    Kiongozi wa Waislamu wa madhebeu ya Shia nchini Nigeria amesisitiza kuwa, kushiriki mamilioni ya watu katika mazishi ya Mashahidi wa Muqawama ni sawa na "kuzaliwa upya Muqawama wa Lebanon".

  • Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Feb 14, 2025 12:10

    Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya ubalozi wa Canada katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, kumnyima yeye na maafisa wengine wakuu wa kijeshi viza ya kwenda Canada kuhudhuria hafla ya michezo ya maveterani wa vita huko Vancouver.

  • Polisi ya Nigeria yakadhibisha kutoweka maelfu ya bunduki

    Polisi ya Nigeria yakadhibisha kutoweka maelfu ya bunduki

    Feb 13, 2025 11:20

    Jeshi la Polisi la Nigeria limekanusha ripoti kwamba maelfu ya silaha zimetoweka kwenye maghala yake ya silaha na kuitaja rupoti hiyo kuwa ni ya kupotosha na isiyo sahihi.

  • Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Feb 10, 2025 11:26

    Kundi moja la wajasiriamali wadogo na wa kati nchini Nigeria, limeandaa mkutano wa siku mbili katika Jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa nchi, kujadili mikakati ya kibiashara na umuhimu wa kususia bidhaa za Israel, ili kuonyesha uungaji mkono kwa kadhia ya Palestina.