Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jan 27, 2025 12:25

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema wanamgambo wasiopungua 70 wa Boko Haram waliuawa katika msururu wa operesheni za karibuni za kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Makumi ya wanajeshi wa Nigeria wauawa katika shambulio la kigaidi

    Makumi ya wanajeshi wa Nigeria wauawa katika shambulio la kigaidi

    Jan 27, 2025 02:25

    Watu wanaoshukiwa kuwa magaidi wamewaua wanajeshi 20 wa Nigeria, akiwemo kkamanda wa ngazi ya juu, baada ya kushambulia kambi moja ya jeshi katika jimbo la Borno la kaskazini mashariki.

  • Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Jan 26, 2025 14:03

    Mamlaka za Nigeria zimeanzisha uchunguzi baada ya watu 18 kuthibitishwa kufariki dunia kwenye mripuko wa lori la mafuta ya petroli.

  • Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina

    Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina

    Jan 25, 2025 11:33

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili ya kuzienzi familia za wafuasi wake waliopoteza maisha katika harakati za kupigania haki nchini Nigeria na katika kadhia ya Palestina.

  • Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi

    Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi

    Jan 25, 2025 02:56

    Kujiunga Nigeria na jumuiya ya BRICS kama nchi mshirika ni hatua kubwa kuelekea ufufuaji wa uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi.

  • Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno

    Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno

    Jan 09, 2025 03:10

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa vikosi vyake vimewaua magaidi 34 wa kundi la Boko Haram katika mapigano ya silaha kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno huku wanajeshi sita pia wakipoteza maisha.

  • Polisi wa Nigeria wawakomboa mateka baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara

    Polisi wa Nigeria wawakomboa mateka baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara

    Jan 06, 2025 13:20

    Polisi ya Nigeria imeripoti kuwa mateka wanne waliotekwa nyara wamekombolewa baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara katika jimbo la Imo kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Nigeria apongeza mpango wa nchi hiyo wa mabadiliko ya kodi

    Rais wa Nigeria apongeza mpango wa nchi hiyo wa mabadiliko ya kodi

    Dec 25, 2024 02:18

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu amesema kuwa atasonga mbele na miswada minne ya marekebisho ya kodi ambayo tayari imewasilishwa bungeni licha ya kukabiliwa na radiamali hasi ya magavana kadhaa wa majimbo nchini humo.

  • Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika mkanyagano wakati wa ugawaji wa chakula huko Nigeria

    Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika mkanyagano wakati wa ugawaji wa chakula huko Nigeria

    Dec 21, 2024 14:01

    Takriban watu 20 wamepoteza maisha katika tukio la mkanyagano lililotokea katika zoezi la ugawaji chakula katika Jimbo la Anambra, kusini mashariki mwa Nigeria.

  • Watoto 32 waaga dunia katika mkanyagano kwenye tamasha la wanafunzi nchini Nigeria

    Watoto 32 waaga dunia katika mkanyagano kwenye tamasha la wanafunzi nchini Nigeria

    Dec 19, 2024 11:21

    Kamanda wa Polisi katika jimbo la Oyo nchini Nigeria, Adewale Osifeso, amesema kuwa watoto wasiopungua 32 wamethibitishwa kufariki dunia katika mkanyagano wa jana kwenye tamasha la wanafunzi jimboni humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS