Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    May 27, 2025 06:39

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    May 12, 2025 01:58

    Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.

  • Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31

    Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31

    May 08, 2025 07:05

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.

  • Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya 'kujenga', 'yasiyo na upendeleo' na Troika ya EU

    Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya 'kujenga', 'yasiyo na upendeleo' na Troika ya EU

    May 06, 2025 06:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema Tehran iko tayari kufanya mazungumzo "ya kujenga na yasiyo na upendeleo" na nchi tatu zinazounda Troika ya Umoja wa Ulaya, ambazo ni Ufaransa, Ujerumani na Uingereza, kuhusu mpango wake wa nyuklia.

  • Wakati anatumikia kifungo jela, Imran Khan ateuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel

    Wakati anatumikia kifungo jela, Imran Khan ateuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel

    Apr 02, 2025 10:31

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani Imran Khan aliyefungwa jela, ameteuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel kwa "kazi aliyofanya kuhusiana na haki za binadamu na demokrasia nchini Pakistan". Hayo yameelezwa katika tamko lililotolewa na chama cha siasa cha Norway Partiet Sentrum.

  • Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump

    Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump

    Mar 12, 2025 02:37

    Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami Pakistan (JIP) ameihutubu serikali ya Islamabad akisema: Marekani si yenye kuitakia kheri katu Pakistan na haipasi kuridhia matakwa ya nchi hiyo.

  • Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad

    Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad

    Nov 26, 2024 07:06

    Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiliwa huru waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan anayetumikia kifungo jela wamekaidi vizuizi vya barabarani vilivyowekwa na Polisi na gesi ya kutoa machozi waliyomiminiwa na askari hao katika azma yao ya kuingia katika mji mkuu Islamabad.

  • Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Nov 05, 2024 13:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuzusha mivutano lakini inatambua haki yake ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Mazuwari 28 raia wa Pakistan waaga dunia katika ajali ya basi Iran

    Mazuwari 28 raia wa Pakistan waaga dunia katika ajali ya basi Iran

    Aug 21, 2024 11:53

    Raia 28 wa Pakistan wamepoteza maisha huku makumi ya wengine wakijeruhiwa baada ya basi lililokuwa limewabeba kubingiria katika kaunti ya Taft, mkoani Yazd, katikati ya Iran. Mazuwari hao walikuwa wakielekea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Takwa la Pakistan la kutofanya biashara ya mafuta na utawala wa Kizayuni

    Takwa la Pakistan la kutofanya biashara ya mafuta na utawala wa Kizayuni

    Aug 12, 2024 02:45

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amelaani kuuawa shahidi Ismail Haniye aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na kuelezea wasiwasi wake mkubwa alionao kuhusiana na chokochoko zinazoongezeka za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS