Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Kwa nini Pakistan imekosoa msimamo wa Trump kuhusu machafuko nchini Iran?

    Kwa nini Pakistan imekosoa msimamo wa Trump kuhusu machafuko nchini Iran?

    Jan 14, 2026 07:21

    Pakistan imekosoa msimamo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu machafuko yanayochochewa na nchi za Magharibi nchini Iran.

  • Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: US ilipaswa kumteka Netanyahu, si Maduro

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: US ilipaswa kumteka Netanyahu, si Maduro

    Jan 11, 2026 06:34

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesema "Marekani inapaswa kumteka nyara na kumshtaki katika mahakama yake yoyote ile Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu, ikiwa Washington ni rafiki halisi wa ubinadamu."

  • Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Netanyahu ni mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Netanyahu ni mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia

    Jan 07, 2026 07:37

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amemtaja Waziri Mkuu wa Israel kuwa mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia na kusema: "Uongo wa Benjamin Netanyahu dhidi ya miradi ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoendeshwa kwa malengo ya amani ulikuwa kisingizio tu cha kuhalalisha mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran.

  • Mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan kushiriki katika 'Kikosi cha Usalama cha Kimataifa' cha Gaza na kukataa Islamabad

    Mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan kushiriki katika 'Kikosi cha Usalama cha Kimataifa' cha Gaza na kukataa Islamabad

    Dec 24, 2025 02:38

    Licha ya mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan ili kushiriki katika "Kikosi cha Usalama cha Kimataifa" cha Gaza, lakini Islamabad ilitangaza kwamba bado hakuna uamuzi uliochukuliwa nan chi hiyo wa kutuma wanajeshi katika Ukanda wa Gaza.

  • Pakistan kumuuzia silaha Haftar wa Libya za dola bilioni 4 zikiwemo ndege za kivita za China

    Pakistan kumuuzia silaha Haftar wa Libya za dola bilioni 4 zikiwemo ndege za kivita za China

    Dec 23, 2025 11:39

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, Pakistan imesaini makubaliano yenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 4 ya kuuza zana za kijeshi, ikiwa ni pamoja na ndege za kivita zilizoundwa na nchi hiyo kwa kushirikiana na China, kwa kundi liitwalo Jeshi la Taifa la Libya (LNA)LNA linaloongozwa na Jenerali Khalifa Haftar, mmoja wa wababe wakuu wa kivita nchini humo.

  • Afghanistan: Shambulio la Pakistan limeua watoto tisa na mwanamke mmoja mkoani Khost

    Afghanistan: Shambulio la Pakistan limeua watoto tisa na mwanamke mmoja mkoani Khost

    Nov 26, 2025 03:00

    Msemaji wa serikali ya muda ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban Zabihullah Mujahid, amesema watoto tisa na mwanamke mmoja wameuawa baada ya vikosi vya jeshi la Pakistan kushambulia nyumba moja katika jimbo la Khost kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi

    Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi

    Oct 29, 2025 02:26

    Matukio chanya yametokea katika wiki za hivi karibuni katika suala la kuongeza uhusiano wa kibiashara na mawasiliano kati ya Iran na Pakistan.

  • Mapigano makali yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Mapigano makali yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Oct 12, 2025 05:24

    Mapigano makali ya mpakani yamezuka kati ya majeshi ya Afghanistan na Pakistan huku vikosi vya nchi hizo mbili vikishambuliana kwa kutumia silaha nzito.

  • Jeshi la Pakistan launga mkono bila ya masharti kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Jeshi la Pakistan launga mkono bila ya masharti kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Oct 09, 2025 03:12

    Makamanda wa jeshi la Pakistan wamebainisha matarajio yao kuhusu kusitishwa vita haraka iwezekanavyo huko Gaza na kutumwa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo na kusisisitiza kuwaa Pakistan inaendelea kuunga mkono bila masharti suala la kuasisiwa nchi huru ya Palestina.

  • Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Oct 03, 2025 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar amesema mpango wa amani wa vipengele 20 uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya Ghaza sio ule ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS