Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Jan 22, 2023 08:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden.

  • Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Dec 16, 2022 11:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi "Chinjachinja wa Gujarat" baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa "kitovu cha ugaidi" huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani

    Nov 16, 2022 01:03

    Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ametoa matamshi yanayotafautiana na msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Marekani kwa kusema: "endapo nitashinda uchaguzi, nitahakikisha tunakuwa na uhusiano na Washington utakaotupa izza na heshima".

  • WHO yatahadharisha juu ya madhara ya mafuriko nchini Pakistan

    WHO yatahadharisha juu ya madhara ya mafuriko nchini Pakistan

    Nov 07, 2022 02:45

    Shirika la Afya Duniani WHO kwa mara nyingine tena limetahadharisha kuhusu tishio la kiafya katika maeneo yaliyokumbwa na mafuriko huko Pakistan.

  • Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan

    Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan

    Nov 06, 2022 10:16

    Maandamano ya upinzani yameshuhudiwa katika miji kadhaa ya Pakistan baada ya jaribio lililofeli la kutaka kumuua Imran Khan Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.

  • Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua

    Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua

    Nov 05, 2022 11:18

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan amemtuhumu mfuatizi wake kuwa amehusika katika njama ya kutaka kumuua.

  • Abdollahian asisitiza kupanua ushirikiano kati ya Iran na Pakistan

    Abdollahian asisitiza kupanua ushirikiano kati ya Iran na Pakistan

    Oct 19, 2022 08:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa uhusiano wa Tehran na Islamabd uko katika hali nzuri na kusisitiza juu ya kupanuliwa ushirikiano kati ya Iran na Pakistan katika nyanja zote khususan katika suala la usalama.

  • UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    Oct 08, 2022 07:04

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuonyesha mshikamano na kufanikisha usaidizi kwa serikali na watu wa Pakistan ikiwemo misaada ya kibinadamu, ukarabati na ujenzi mpya sambamba na kuepusha majanga zaidi iwapo taifa hilo litakumbwa na janga la mafuriko kama la sasa.

  • Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Sep 26, 2022 03:35

    Serikali ya Pakistan kwa mara nyingine tena imepinga wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchochezi wa baadhi ya tawala za Kiarabu zenye fikra mgando za kuitaka ifuate mkondo huo.

  • Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu kuenezwa chuki dhidi ya Waislamu

    Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu kuenezwa chuki dhidi ya Waislamu

    Sep 26, 2022 03:05

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametaka kukomeshwa mara moja chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, hasa nchini India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS