-
Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu
Sep 26, 2021 01:05Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, Palestina ingali maudhui kuu na ya asili katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
HAMAS yalaani vikao vya viongozi wa Palestina na mawaziri, wabunge wa utawala wa Kizayuni
Sep 25, 2021 00:12Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikao vinavyofanywa baina ya maafisa wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas
Sep 23, 2021 22:47Serikali ya Sudan imefuata nyayo za utawala katili wa Israel na kuchukua hatua ya kutwaa mali na milki za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.
-
Muqawama wa Palestina wakataa mpango wa Israel wa "Uchumi Mkabala wa Usalama"
Sep 18, 2021 21:54Muqawama wa Palestina umesisitizia ulazima wa kuendelea kutoa mashinikizo kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba hautaruhusu wala kukubali mpango wa Kizayuni wa "Uchumi Mkabala wa Usalama".
-
Hatibu wa al Aqsa: Mapambano ya taifa la Palestina yamezima njama za Israel dhidi ya Al Aqsa
Sep 15, 2021 08:27Hatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesema kuwa mapambano na kusimama kidete kwa taifa la Palestina vimezima na kukwamisha njama za utawala haramu wa Israel za kuudhibiti kikamilifu msikiti huo.
-
HAMAS: Wazayuni hawana ubavu wa kuizuia Gaza isiendeleze mapambano ya silaha
Sep 11, 2021 06:51Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuishambulia kwa mabomu Gaza haiwezi kulizuia eneo hilo lisiendeleze mapambano yake ya silaha dhidi ya adui Mzayuni.
-
Israel yaiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka Wapalestina waliotoroka jela
Sep 10, 2021 08:16Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka sita Wapalestina waliotoroka jela ya utawala huo ghasibu.
-
Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria
Sep 09, 2021 06:39Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.
-
Mateka wa Palestina wachoma moto jela nyingine ya Kizayuni
Sep 09, 2021 03:02Duru za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa, mateka wa Palestina wamechoma moto jela ya pili ya utawala wa Kizayuni.
-
Mateka Wapalestina wachoma moto jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot
Sep 08, 2021 22:05Duru za habari za Kiebrania zimetangaza kuwa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot wamechoma moto vyumba walimowekwa ndani ya jela hiyo.