Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa

    Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa

    Sep 06, 2021 06:51

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.

  • HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    Sep 05, 2021 22:34

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.

  • Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Sep 05, 2021 02:49

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imetoa wito wa kuharakishwa mwenendo wa kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi kwa ajili ya kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Aug 31, 2021 22:53

    Askari wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mahmoud Abbas 'amewapiga jambia' Wapalestina kwa kukutana na Gantz

    Mahmoud Abbas 'amewapiga jambia' Wapalestina kwa kukutana na Gantz

    Aug 30, 2021 06:52

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema kitendo cha Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kukutana na kufanya mazungumzo na Benny Gantz, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel ni sawa na kuwachoma jambia kwa nyuma Wapalestina.

  • Jihad al Islami yasisitizia wajibu wa kupambana na njama zote za Wazayuni

    Jihad al Islami yasisitizia wajibu wa kupambana na njama zote za Wazayuni

    Aug 30, 2021 02:40

    Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na wengine, kamwe hayawezi kuudhoofisha muqawama na kwamba makundi ya wanamapambano wa Palesitna yako tayari kukabiliana na upuuzi wowote wa Israel.

  • HAMAS: Wapalestina watapambana ili kujikomboa na kupata uhuru wao

    HAMAS: Wapalestina watapambana ili kujikomboa na kupata uhuru wao

    Aug 29, 2021 10:09

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema, Wapalestina hawatavumilia katu kufanyiwa mapatano haki zao za kitaifa na watapambana ili kujikomboa na kupata uhuru wao.

  • HAMAS: Rais Mahmoud Abbas anatupatia masharti yale yale ya utawala haramu wa Israel

    HAMAS: Rais Mahmoud Abbas anatupatia masharti yale yale ya utawala haramu wa Israel

    Aug 28, 2021 22:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali misimamo ya Mamhoumd Abbas na kueleza kwamba, Rais huyo wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina akiwa na lengo la kuhitimisha hitilafu za ndani na kukamilisha mpango wa umoja wa kitaifa amekuwa akiipatia harakati hiyo masharti yale yale ya Israel.

  • UN: Jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 Ukingo wa Magharibi

    UN: Jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 Ukingo wa Magharibi

    Aug 27, 2021 03:33

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu Kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limesema jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ndani ya mwaka huu 2021 pekee.

  • Wapalestina waandamana kulaani ushirikiano wa kiusalama kati ya Mamalaka ya Ndani na Israel

    Wapalestina waandamana kulaani ushirikiano wa kiusalama kati ya Mamalaka ya Ndani na Israel

    Aug 26, 2021 22:06

    Umati mkubwa wa Wapalestina umeandamana katika mji wa Ramallah ulioko kwenye Ufukwe wa Magharibi mwa Mto Jordan kulaani ushirikiano wa kiusalama uliopo kati ya serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS