-
Palestina, OIC zailaani Honduras kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds
Jun 26, 2021 08:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekosoa vikali hatua ya serikali ya Honduras ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv.
-
Ismail Hania: Muqawama ni njia fupi zaidi kwa ajili ya kurejesha haki za Wapalestina
Jun 23, 2021 23:14Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ambaye amefanya ziara nchini Mauritania amesisitiza juu ya ulazima wa kuendeshwa muqawama ikiwa njia fupi zaidi ya kufanikisha kupatikana haki za Wapalestina zilizoporwa.
-
Palestina yaikosoa UN kwa kutoiweka Israel katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto
Jun 21, 2021 07:29Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imeukosoa Umoja wa Mataifa kwa kutoiweka Israeli kwenye orodha nyeusi ya kila mwaka ya makundi na nchi zinazohusika na ukiukaji mkubwa wa haki za watoto, ikisema kupuuza jinai za utawala huo kunawapa kinga ya kuhukumiwa Wazayuni wanaoua watoto.
-
Makundi ya muqawama ya Palestina yautahadharisha utawala wa Kizayuni
Jun 20, 2021 03:45Makundi ya muqawama ya Palestina yametangaza kuwa hayautauruhusu utawala ghasibu wa Kizayuni uutwishe muqawama masharti yake au kuufanya Ukanda wa Ghaza uwe katika hali ya kutengwa.
-
Shakhsia 682 wa kisiasa wataka Biden akomeshe dhulma za Israel
Jun 19, 2021 21:53Mamia ya shakhsia wa kisiasa, wanaakademia, wanaharakati wa amani na washindi wa Tuzo ya Nobel wamemtaka Rais Joe Biden wa Marekani atimize ahadi yake ya kulinda haki za Wapalestina, na kukomesha dhulma za Israel.
-
Wapalestina 160 wanateseka katika jela za Saudi Arabia hivi sasa
Jun 19, 2021 21:53Shirika la habari la "Palestine Today" limetangaza kuwa, sasa hivi kuna Wapalestina 160 wanaoteseka katika jela za ukoo wa Aal Saud nchini Saudi Arabia. Wapalestina hao wanashikiliwa kwenye jela hizo za Saudi Arabia kwa tuhuma za kuwa wanachama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Uungaji mkono wa Wapalestina kwa Hamas umeongezeka baada ya 'Upanga wa Quds'
Jun 17, 2021 02:51Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa, uungaji mkono wa Wapalestina kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) umeongezeka zaidi baada ya kujiri vita vya Saif al Quds (Upanga wa Quds).
-
Jihad Islami yaonya kuhusu hatua ya kichochezi ya Wazayuni ya 'Maandamano ya Bendera'
Jun 14, 2021 08:36Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuandaa 'maandamano ya bendera' ni hatari na wa kichochezi.
-
Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo
Jun 12, 2021 22:20Zaidi ya Waandishi wa habari 500 wa Marekani wamesaini barua ya pamoja wakitaka kuakisiwa na kutangazwa habari zinazohusiana na dhulma na siasa za kibaguzi za Israel huko Palestina.
-
Hamas: Tumetoa pigo kubwa kwa nadharia ya usalama wa Israel
Jun 11, 2021 23:42Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema katika mapambano ya siku 12 hivi karibuni, harakati za ukombozi wa Palestina zimetoa pigo kubwa kwa nadharia ya usalama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambayo imejengeka kwa msingi kuwa utawala huo una uwezo zaidi ya wote katika eneo.