-
Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel
Nov 12, 2020 04:03Kufuatia kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuchukiliwa hatua za dharura za kuwanusuru mateka wengine wa Kipalestina wanaozuiliwa katika mazingira ya kuogofya katika jela na korokoro hizo za Wazayuni.
-
Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani
Nov 11, 2020 04:16Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametoa taarifa na kulaani kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hilo ni thibitisho la namna utawala huo unavyowatendea unyama wafungwa.
-
OIC yalaani bomoa bomoa ya nyumba za raia wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Nov 10, 2020 06:16Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki
Nov 09, 2020 00:58Makundi ya Kipalestina yametangaza kuwa kuingia madarakani Joe Biden hakutabadili msimamo wa kiuhasama wa Marekani kuhusu kadhia ya Palestina.
-
Mateka Mpalestina asitisha mgomo wa siku 103 wa kukataa kula baada ya mapatano
Nov 07, 2020 03:58Duru za habari zimedokeza kuwa, mateka maarufu Mplaestina amesitisha mgomo uliodumu siku 103 wa kukataa kula baada ya idara ya magereza katika utawala wa Kizayuni wa Israel kusalimu amri mbele ya irada yake.
-
Uingereza na Palestina; miaka 103 baada ya Azimio la Balfour
Nov 04, 2020 03:14Juzi Jumatatu tarehe Pili Novemba ilisadifiana na kutimia mwaka wa 103 wa Azimio la Balfour.
-
Jihadul Islami: Nchi za Kiarabu zitabeba dhima ya mauaji ya Maher al-Akhras
Nov 03, 2020 03:35Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema tawala vibaraka za Kiarabu zitabeba dhima ya chochote kitakachompata matekani Mpalestina anayeshikiliwa katika korokoro ya utawala haramu wa Israel, Maher al-Akhras.
-
Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina
Nov 02, 2020 04:08Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametaka kuharakishwa kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina.
-
Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina
Nov 02, 2020 04:07Baada ya chama cha mrengo wa kushoto nchini Bolivia kuibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais nchini humo, Luis Arce rais mteule wa nchi hiyo amesisitiza juu ya himaya na uungaji mkono wa nchi yake kwa kadhia ya Palestina katika majukwaa na duru zote za ndani na za kimataifa.
-
Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel
Nov 02, 2020 00:52Vijana watatu wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la al-Jalil, kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.