Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel

    Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel

    Nov 12, 2020 04:03

    Kufuatia kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuchukiliwa hatua za dharura za kuwanusuru mateka wengine wa Kipalestina wanaozuiliwa katika mazingira ya kuogofya katika jela na korokoro hizo za Wazayuni.

  • Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani

    Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani

    Nov 11, 2020 04:16

    Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametoa taarifa na kulaani kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hilo ni thibitisho la namna utawala huo unavyowatendea unyama wafungwa.

  • OIC yalaani bomoa bomoa ya nyumba za raia wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    OIC yalaani bomoa bomoa ya nyumba za raia wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Nov 10, 2020 06:16

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Nov 09, 2020 00:58

    Makundi ya Kipalestina yametangaza kuwa kuingia madarakani Joe Biden hakutabadili msimamo wa kiuhasama wa Marekani kuhusu kadhia ya Palestina.

  • Mateka Mpalestina asitisha mgomo wa siku 103 wa kukataa kula baada ya mapatano

    Mateka Mpalestina asitisha mgomo wa siku 103 wa kukataa kula baada ya mapatano

    Nov 07, 2020 03:58

    Duru za habari zimedokeza kuwa, mateka maarufu Mplaestina amesitisha mgomo uliodumu siku 103 wa kukataa kula baada ya idara ya magereza katika utawala wa Kizayuni wa Israel kusalimu amri mbele ya irada yake.

  • Uingereza na Palestina; miaka 103 baada ya Azimio la Balfour

    Uingereza na Palestina; miaka 103 baada ya Azimio la Balfour

    Nov 04, 2020 03:14

    Juzi Jumatatu tarehe Pili Novemba ilisadifiana na kutimia mwaka wa 103 wa Azimio la Balfour.

  • Jihadul Islami: Nchi za Kiarabu zitabeba dhima ya mauaji ya Maher al-Akhras

    Jihadul Islami: Nchi za Kiarabu zitabeba dhima ya mauaji ya Maher al-Akhras

    Nov 03, 2020 03:35

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema tawala vibaraka za Kiarabu zitabeba dhima ya chochote kitakachompata matekani Mpalestina anayeshikiliwa katika korokoro ya utawala haramu wa Israel, Maher al-Akhras.

  • Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Nov 02, 2020 04:08

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametaka kuharakishwa kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina.

  • Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Nov 02, 2020 04:07

    Baada ya chama cha mrengo wa kushoto nchini Bolivia kuibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais nchini humo, Luis Arce rais mteule wa nchi hiyo amesisitiza juu ya himaya na uungaji mkono wa nchi yake kwa kadhia ya Palestina katika majukwaa na duru zote za ndani na za kimataifa.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel

    Nov 02, 2020 00:52

    Vijana watatu wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la al-Jalil, kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS