-
Wapalestina waandamana, wataka kuachiwa huru Maher al Akhras
Nov 01, 2020 04:37Wananchi wa Palestina wamefanya maandamano leo wakitangaza uungaji kono wao kwa matekani Mpalestina anayeshikiliwa katika korokoro ya utawala haramu wa Israel, Maher al Akhras.
-
UN: Inabidi utawala wa Kizayuni uchukuliwe hatua
Oct 31, 2020 04:07Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Palestina ameitaka jamii ya kimataifa iuchukulie hatua utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai zake dhidi ya Wapalestina.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Baitul Muqaddas haitauzwa, si kwa amri ya Israel wala Marekani
Oct 27, 2020 03:54Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa Quds tukufu haitauzwa, si kwa amri ya Israel, serikali ya Marekani wala nchi nyingine yoyote duniani.
-
Afisa wa UN aitaka Israel imwachie huru Maher al Akhras haraka iwezekanavyo
Oct 25, 2020 23:03Ripota wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel ameutaka utawala wa Kizayuni umwachie Mpalestina Maher al Akhras haraka iwezekanavyo.
-
Al Houthi: Kuna udharura wa kuwa na msimamo mmoja dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw)
Oct 25, 2020 13:14Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen amesema kuna udharura wa kuwepo msimamo mmoja wa Kiislamu dhidi ya vitendo vya kuwavunjia heshima Mitume wa Mwenyezi Mungu.
-
Harakati za mapambano Palestina zaapa kulipiza kisasi cha mauaji ya kijana Amer
Oct 25, 2020 09:19Harakati za mapambano ya ukombozi wa Palestina zimetangaza kuwa zitajibu mauaji yaliyofaywa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kijana aliyekuwa na umri wa miaka 18 wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi kwa kuzidisha mapambano dhidi ya utawala huo.
-
Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu walaani makubaliano kati ya Sudan na Israel
Oct 24, 2020 04:15Nchi za ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu pamoja na makundi ya muqawama yamelaani vikali hatua ya kufikiwa makubaliano kati ya Sudan na Israel ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina yao. Wananchi wa Palestina wamekitaja kitendo hicho cha kisaliti kama 'dhambi ya kisiasa.'
-
Hamas: Israel haiwezi kuvunja azma na mapambano ya Wapalestina
Oct 24, 2020 00:50Msemaji wa Harakati ya Mapambabno ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa lengo la mashambulizi ya mara kwa mara ua utawala haramu wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza ni kuvunja azma ya mapambano ya taifa la Palestina lakini utawala huo utashindwa na kugonga mwamba.
-
Jordan yasisitiza tena kuundwa nchi huru ya Palestina
Oct 19, 2020 23:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan ametaka ipatikane amani ya kweli na kiuadilifu itakayodhamini kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Watu wa Palestina wakusanyika kumuunga mkono mateka Maher al-Akhras
Oct 16, 2020 10:15Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamekusanyika leo kutangaza kumuunga mkono Maher Al Akhras, mateka Mpalestina anayeshikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.