Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Nov 09, 2020 00:58

    Makundi ya Kipalestina yametangaza kuwa kuingia madarakani Joe Biden hakutabadili msimamo wa kiuhasama wa Marekani kuhusu kadhia ya Palestina.

  • Mateka Mpalestina asitisha mgomo wa siku 103 wa kukataa kula baada ya mapatano

    Mateka Mpalestina asitisha mgomo wa siku 103 wa kukataa kula baada ya mapatano

    Nov 07, 2020 03:58

    Duru za habari zimedokeza kuwa, mateka maarufu Mplaestina amesitisha mgomo uliodumu siku 103 wa kukataa kula baada ya idara ya magereza katika utawala wa Kizayuni wa Israel kusalimu amri mbele ya irada yake.

  • Uingereza na Palestina; miaka 103 baada ya Azimio la Balfour

    Uingereza na Palestina; miaka 103 baada ya Azimio la Balfour

    Nov 04, 2020 03:14

    Juzi Jumatatu tarehe Pili Novemba ilisadifiana na kutimia mwaka wa 103 wa Azimio la Balfour.

  • Jihadul Islami: Nchi za Kiarabu zitabeba dhima ya mauaji ya Maher al-Akhras

    Jihadul Islami: Nchi za Kiarabu zitabeba dhima ya mauaji ya Maher al-Akhras

    Nov 03, 2020 03:35

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema tawala vibaraka za Kiarabu zitabeba dhima ya chochote kitakachompata matekani Mpalestina anayeshikiliwa katika korokoro ya utawala haramu wa Israel, Maher al-Akhras.

  • Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Hamas yasisitiza kuharakisha kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina

    Nov 02, 2020 04:08

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametaka kuharakishwa kufikiwa ramani ya njia ya kitaifa ya Palestina.

  • Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Nov 02, 2020 04:07

    Baada ya chama cha mrengo wa kushoto nchini Bolivia kuibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais nchini humo, Luis Arce rais mteule wa nchi hiyo amesisitiza juu ya himaya na uungaji mkono wa nchi yake kwa kadhia ya Palestina katika majukwaa na duru zote za ndani na za kimataifa.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel

    Nov 02, 2020 00:52

    Vijana watatu wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la al-Jalil, kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wapalestina waandamana, wataka kuachiwa huru Maher al Akhras

    Wapalestina waandamana, wataka kuachiwa huru Maher al Akhras

    Nov 01, 2020 04:37

    Wananchi wa Palestina wamefanya maandamano leo wakitangaza uungaji kono wao kwa matekani Mpalestina anayeshikiliwa katika korokoro ya utawala haramu wa Israel, Maher al Akhras.

  • UN: Inabidi utawala wa Kizayuni uchukuliwe hatua

    UN: Inabidi utawala wa Kizayuni uchukuliwe hatua

    Oct 31, 2020 04:07

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Palestina ameitaka jamii ya kimataifa iuchukulie hatua utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai zake dhidi ya Wapalestina.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Baitul Muqaddas haitauzwa, si kwa amri ya Israel wala Marekani

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Baitul Muqaddas haitauzwa, si kwa amri ya Israel wala Marekani

    Oct 27, 2020 03:54

    Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa Quds tukufu haitauzwa, si kwa amri ya Israel, serikali ya Marekani wala nchi nyingine yoyote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS