Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Uenyekiti wa Arab League wageuka kiazi moto, Libya pia yaukataa

    Uenyekiti wa Arab League wageuka kiazi moto, Libya pia yaukataa

    Oct 07, 2020 04:23

    Siku chache baada ya Qatar na Kuwait kukataa kuchukua uenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) badala ya Palestina ambayo nayo ilikataa uenyekiti huo, Libya pia imeamua kufuata mkumbo huo.

  • Mwanamfalme wa Saudia akerwa na Palestina kupinga uhusiano na Israel

    Mwanamfalme wa Saudia akerwa na Palestina kupinga uhusiano na Israel

    Oct 07, 2020 01:16

    Mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Saudi Arabia amewakosoa vikali viongozi wa Palestina kwa kupinga hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 06, 2020 04:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewakosoa waandishi wa habari hususan katika nchi za Kiarabu kwa kumpa waziri wa vita wa Israel jukwaa la kuhubiri siasa na sera za utawala huo haramu.

  • Kuongezeka ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina baada ya kusaini mapatano ya uhusiano rasmi na nchi za Kiarabu

    Kuongezeka ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina baada ya kusaini mapatano ya uhusiano rasmi na nchi za Kiarabu

    Oct 03, 2020 06:45

    Ikiwa zimepita wiki mbili tangu kusainiwa mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia baina ya nchi za Imarati na Barain na utawala haramu wa Israel huko White House; utawala wa Kizayuni umezidisha uhalifu na vitendo vyake vya mabavu dhidi ya Wapalestina.

  • Ripoti: Hali ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya Israel ni mbaya

    Ripoti: Hali ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya Israel ni mbaya

    Oct 03, 2020 04:19

    Kamati ya Masuala ya Mateka na Wapalestina Walioachiliwa Huru imetangaza kuwa, hali ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni mbaya mno.

  • Palestina: Ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni unaendelea Ukingo wa Magharibi

    Palestina: Ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni unaendelea Ukingo wa Magharibi

    Oct 02, 2020 23:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni unaendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, tofauti kabisa na madai ya Imarati na Bahrain ya kusimamishwa ujenzi wa vitongoji hivyo baada ya nchi hizo mbili za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na Israel.

  • Kamati Kuu ya Fat-h yapitisha makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya harakati hiyo na HAMAS

    Kamati Kuu ya Fat-h yapitisha makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya harakati hiyo na HAMAS

    Oct 02, 2020 04:09

    Kamati Kuu ya Harakati ya Fat-h imetangaza kuwa imepitisha makubaliano ambayo harakati hiyo ilifikia hivi karibuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kuhusu mapatano ya kitaifa.

  • Iran yaadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Palestina

    Iran yaadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Palestina

    Sep 30, 2020 09:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ya Septemba 30 (tarehe 9 Mehr kwa mujibu wa kalenda ya Kiirani ya Hijria Shamsia), imeadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Kipalestina.

  • Palestina; miongo miwili baada ya Intifadha ya Pili

    Palestina; miongo miwili baada ya Intifadha ya Pili

    Sep 29, 2020 09:43

    Jumatatu ya jana tarehe 28 Septemba, ilisafidiana na kutimia miaka 20 tangu kulipotokea Intifadha ya Pili inayojulikana kama Intifadha ya al-Aqswa.

  • Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Sep 29, 2020 09:02

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameyataja mazungumzo yaliyofanyika kati ya harakati hiyo na ile ya Fat-h kuwa ni uwanja muhimu sasa kwa ajili ya kufanyika mazungumzo mapana ya kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS