Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    Sep 29, 2020 03:30

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa zaidi ya nyumba mia tano za raia wa Palestina.

  • Afisa wa Fat-h: Nchi za Kiarabu hazitapata manufaa yoyote kwa kufanya mapatano na Israel

    Afisa wa Fat-h: Nchi za Kiarabu hazitapata manufaa yoyote kwa kufanya mapatano na Israel

    Sep 27, 2020 10:33

    Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Harakati ya Fat-h ya Palestina amesema, nchi za Kiarabu hazitapata manufaa yoyote kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina

    Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina

    Sep 27, 2020 01:11

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, utawala haramu wa Israel utafukuzwa katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.

  • Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Sep 25, 2020 22:59

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amelaani hatua za Israel dhidi ya Palestina na akaeleza kwamba jamii ya kimataifa imeshindwa kukabiliana na "ukichwangumu" wa Israel.

  • Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Sep 25, 2020 07:47

    Serikali ya Qatar imekataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League badala ya Palestina ambayo nayo ilikataa uwenyekiti huo ikilalamikia hatua ya baadhi ya mataifa ya jumuiya hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Hamas: Muamala wa Karne umekuwa chachu ya kuimarika harakati za mapambano za Palestina

    Hamas: Muamala wa Karne umekuwa chachu ya kuimarika harakati za mapambano za Palestina

    Sep 25, 2020 03:25

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa njama ya Muamala wa Karne na uhasama unaofanywa dhidi ya Palestina vimekuwa chachu ya kukurubiana zaidi harakati na makundi ya kupigania ukombozi ya Palestina.

  • Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Sep 23, 2020 03:43

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wamesisitiza udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina, huku wakikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ukaliaji mabavu wa ardhi za Wapalestina.

  • Palestina yakataa kuchukua uwenyekiti wa Arab League

    Palestina yakataa kuchukua uwenyekiti wa Arab League

    Sep 22, 2020 08:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa mamlaka hiyo imeamua kusamehe haki yake ya kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League.

  • Yaliyomo kwenye mpango wa Marekani wa kutaka kumuengua Mahmoud Abbas

    Yaliyomo kwenye mpango wa Marekani wa kutaka kumuengua Mahmoud Abbas

    Sep 20, 2020 03:31

    David Friedman, Balozi wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) Alhamisi iliyopita alisema kuwa; Marekani inafikiria kumweka Mohammed Dahlan, kiongozi wa zamani wa harakati ya Fat-h kwenye uongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuchukua nafasi ya Mahmoud Abbas, rais wa sasa wa mamlaka hiyo.

  • Wall Street Journal: Mfalme Salman ametofautiana na mrithi wake kuhusu kuanzisha uhusiano na Israel

    Wall Street Journal: Mfalme Salman ametofautiana na mrithi wake kuhusu kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 19, 2020 22:08

    Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limefichua kuwa, kumetokea hitilafu kubwa na kali baina ya Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudi Arabia na mrithi wake, Muhammad bin Salman baada ya mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya pande hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS