Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran: Njia yoyote ya uchukuaji hatua inayopuuza matakwa ya taifa la Palestina ni batili

    Iran: Njia yoyote ya uchukuaji hatua inayopuuza matakwa ya taifa la Palestina ni batili

    Sep 19, 2020 00:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa: Njia yoyote ile ya uchukuaji hatua ikiwemo ya "Muamala wa Karne" ambayo haitatilia maanani matakwa ya taifa la Palestina ni batili.

  • Tofauti baina ya Mapatano ya Abraham, Camp David na Wadi Araba

    Tofauti baina ya Mapatano ya Abraham, Camp David na Wadi Araba

    Sep 18, 2020 03:40

    Nchi za Kiarabu zimesaini mapatano mara tatu na utawala wa Kizayuni wa Israel na ya hivi karibuni zaidi kati ya mapatano hayo ni yale yliyopewa jina la Mapatano ya Abraham (Abraham Accords) yaliyosainiwa tarehe 15 mwezi huu wa Septemba katika Ikulu ya Rais wa Marekani, White House. Mapatano hayo matatu yana tofauti kadhaa na muhimu.

  • Russia: Amani haitapatikana Asia Magharibi bila kutatuliwa kadhia ya Palestina

    Russia: Amani haitapatikana Asia Magharibi bila kutatuliwa kadhia ya Palestina

    Sep 18, 2020 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema ni kosa kudhani kuwa amani ya kudumu itapatikana katika eneo la Asia Magharibi pasi na kutatuliwa mgogoro wa Palestina.

  • "Muqawama hauna mistari myekundu katika vita dhidi ya Israel"

    Sep 17, 2020 03:41

    Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema muqawama ni chaguo la Wapalestina wote dhidi ya utawala wa Kizayuni, na kwamba makundi ya mapambano hayana mistari myekundu katika vita dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Sep 17, 2020 01:27

    Nchi za Imarati na Bahran juzi Septemba 15 zilisaini mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Sherehe ya kutiwa saini mapatano hayo ilifanyika ikulu ya White House mjini Washington chini ya usimamizi wa Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Bunge la Taifa la Palestina: Mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel hayatadhamini amani

    Bunge la Taifa la Palestina: Mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel hayatadhamini amani

    Sep 16, 2020 03:18

    Bunge la Taifa la Palestina limetangaza kuwa, kufanya mapatano na utawala haramu wa Israel kamwe hakuwezi kuleta amani, utulivu na maendeleo katika eneo la magharibi mwa Asia.

  • Haniya: Malengo matukufu ya Palestina hayatakuwa daraja la kufanyia mapatano na utawala wa Kizayuni

    Haniya: Malengo matukufu ya Palestina hayatakuwa daraja la kufanyia mapatano na utawala wa Kizayuni

    Sep 15, 2020 22:09

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, malengo matukufu ya watu wa Palestina hayatakuwa daraja la kufanyia mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • 15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka

    15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka

    Sep 15, 2020 10:42

    Imarati na Bahrain leo Jumanne zinatarajiwa kutia saini mapatano ya amani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ikulu ya Rais wa Marekani, White House, mjini Washington. Hatua hii imeyakasirisha sana mataifa ya Waislamu na Waarabu ambayo yameitaja kuwa ni usaliti dhidi ya Uislamu, Palestina na Quds tukufu.

  • Palestina: Jumanne ni 'Siku Nyeusi' kwa ulimwengu wa Kiarabu

    Palestina: Jumanne ni 'Siku Nyeusi' kwa ulimwengu wa Kiarabu

    Sep 15, 2020 02:58

    Waziri Mkuu wa Palestina amesema ulimwengu wa Kiarabu leo Jumanne utashuhudia 'Siku Nyeusi' katika historia yake, kutokana na hafla itakayofanyika hii leo katika Ikulu ya White House ya Marekani ya kutiwa saini rasmi makubaliano ya kufanywa wa kawaida uhusiano wa nchi mbili za Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Haniya: Marekani inajaribu kuanzisha njia za mazungumzo na Hamas

    Haniya: Marekani inajaribu kuanzisha njia za mazungumzo na Hamas

    Sep 14, 2020 03:14

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema Marekani imefungua njia za kuanzisha mazungumzo na maafisa wa ngazi za juu wa harakati hiyo, ili kulishawishi kundi hilo liafiki kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS