-
Kuongezeka ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina baada ya kusaini mapatano ya uhusiano rasmi na nchi za Kiarabu
Oct 03, 2020 06:45Ikiwa zimepita wiki mbili tangu kusainiwa mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia baina ya nchi za Imarati na Barain na utawala haramu wa Israel huko White House; utawala wa Kizayuni umezidisha uhalifu na vitendo vyake vya mabavu dhidi ya Wapalestina.
-
Ripoti: Hali ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya Israel ni mbaya
Oct 03, 2020 04:19Kamati ya Masuala ya Mateka na Wapalestina Walioachiliwa Huru imetangaza kuwa, hali ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni mbaya mno.
-
Palestina: Ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni unaendelea Ukingo wa Magharibi
Oct 02, 2020 23:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni unaendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, tofauti kabisa na madai ya Imarati na Bahrain ya kusimamishwa ujenzi wa vitongoji hivyo baada ya nchi hizo mbili za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na Israel.
-
Kamati Kuu ya Fat-h yapitisha makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya harakati hiyo na HAMAS
Oct 02, 2020 04:09Kamati Kuu ya Harakati ya Fat-h imetangaza kuwa imepitisha makubaliano ambayo harakati hiyo ilifikia hivi karibuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kuhusu mapatano ya kitaifa.
-
Iran yaadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Palestina
Sep 30, 2020 09:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ya Septemba 30 (tarehe 9 Mehr kwa mujibu wa kalenda ya Kiirani ya Hijria Shamsia), imeadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Kipalestina.
-
Palestina; miongo miwili baada ya Intifadha ya Pili
Sep 29, 2020 09:43Jumatatu ya jana tarehe 28 Septemba, ilisafidiana na kutimia miaka 20 tangu kulipotokea Intifadha ya Pili inayojulikana kama Intifadha ya al-Aqswa.
-
Hamas: Mazungumzo na harakati ya Fat-h ni uwanja kwa ajili ya kufanyika mazungumzo ya kitaifa
Sep 29, 2020 09:02Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameyataja mazungumzo yaliyofanyika kati ya harakati hiyo na ile ya Fat-h kuwa ni uwanja muhimu sasa kwa ajili ya kufanyika mazungumzo mapana ya kitaifa.
-
UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina
Sep 29, 2020 03:30Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa zaidi ya nyumba mia tano za raia wa Palestina.
-
Afisa wa Fat-h: Nchi za Kiarabu hazitapata manufaa yoyote kwa kufanya mapatano na Israel
Sep 27, 2020 10:33Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Harakati ya Fat-h ya Palestina amesema, nchi za Kiarabu hazitapata manufaa yoyote kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Maghasibu watafukuzwa katika ardhi ya Palestina
Sep 27, 2020 01:11Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, utawala haramu wa Israel utafukuzwa katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.