Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Jul 01, 2020 21:48

    Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Jul 01, 2020 21:40

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.

  • Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Jun 30, 2020 08:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa wa Israel unafuatilia malengo matatu makuu katika mpango wake wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Hamas yaitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuandaa kikao cha taifa

    Hamas yaitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuandaa kikao cha taifa

    Jun 30, 2020 03:23

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemtaka Mahmoud Abbas Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuandaa kikao cha taifa kwa ajili ya kubuni mkakati wa pamoja wa kukabiliana na mpango wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran: Iwapo Israel itapora ardhi zaidi za Wapalestina itapata jibu kali la wapigania ukombozi wa Palestina

    Iran: Iwapo Israel itapora ardhi zaidi za Wapalestina itapata jibu kali la wapigania ukombozi wa Palestina

    Jun 26, 2020 11:43

    Mshauri wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mpango wake wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jordan: Njia pekee ya kupatikana uthabiti Asia Magharibi ni kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jordan: Njia pekee ya kupatikana uthabiti Asia Magharibi ni kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jun 25, 2020 07:07

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan amesisitiza juu ya udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kueleza kwamba, Palestina ndio kadhia kuu na ambayo imekuwa ikipewa kipaumbele na nchi hiyo.

  • Mwakilishi wa Palestina UN ataka kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Mwakilishi wa Palestina UN ataka kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 24, 2020 22:41

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametaka kuchunguzwa na kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.

  • Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina

    Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina

    Jun 17, 2020 22:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa vituo vya Wapalestina huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ni jitihada za utawala huo zinazolenga kubadili utambulisho wa Quds; njama ambazo hazitafikia popote.

  • Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel

    Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel

    Jun 14, 2020 22:41

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mwito kwa wanazuoni wa Kiislamu kuunda kamati ya uratibu itakayopewa jukumu la kuunda na kutekeleza mpango wa kistratajia wa kuunga mkono kadhia ya Palestina na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Rais Donald Trump wa Marekani zilizopewa jina la "Muamala wa Karne."

  • Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Jun 12, 2020 05:34

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa nchi 8 za Ulaya zimetangaza kuwa ziko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina iwapo Israel itatwaa ardhi zaidi ya Ukingo wa Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS