-
Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao
Jul 01, 2020 21:48Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel
Jul 01, 2020 21:40Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.
-
Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina
Jun 30, 2020 08:12Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa wa Israel unafuatilia malengo matatu makuu katika mpango wake wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hamas yaitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuandaa kikao cha taifa
Jun 30, 2020 03:23Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemtaka Mahmoud Abbas Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuandaa kikao cha taifa kwa ajili ya kubuni mkakati wa pamoja wa kukabiliana na mpango wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Iran: Iwapo Israel itapora ardhi zaidi za Wapalestina itapata jibu kali la wapigania ukombozi wa Palestina
Jun 26, 2020 11:43Mshauri wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mpango wake wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Jordan: Njia pekee ya kupatikana uthabiti Asia Magharibi ni kuundwa nchi huru ya Palestina
Jun 25, 2020 07:07Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan amesisitiza juu ya udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kueleza kwamba, Palestina ndio kadhia kuu na ambayo imekuwa ikipewa kipaumbele na nchi hiyo.
-
Mwakilishi wa Palestina UN ataka kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Jun 24, 2020 22:41Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametaka kuchunguzwa na kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.
-
Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina
Jun 17, 2020 22:22Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa vituo vya Wapalestina huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ni jitihada za utawala huo zinazolenga kubadili utambulisho wa Quds; njama ambazo hazitafikia popote.
-
Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel
Jun 14, 2020 22:41Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mwito kwa wanazuoni wa Kiislamu kuunda kamati ya uratibu itakayopewa jukumu la kuunda na kutekeleza mpango wa kistratajia wa kuunga mkono kadhia ya Palestina na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Rais Donald Trump wa Marekani zilizopewa jina la "Muamala wa Karne."
-
Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina
Jun 12, 2020 05:34Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa nchi 8 za Ulaya zimetangaza kuwa ziko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina iwapo Israel itatwaa ardhi zaidi ya Ukingo wa Magharibi.