Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Sayyid Nasrullah: Utawala wa kibaguzi wa Israel utaangamia

    Sayyid Nasrullah: Utawala wa kibaguzi wa Israel utaangamia

    May 27, 2020 03:31

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utasambaratika na kuangamia na kwamba matukio yote yanayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi yapo dhidi ya maslahi ya utawala huo pandikizi.

  • Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    May 25, 2020 01:56

    Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel wamewashambulia waumini wa Palestina na kuwazuia kusimamisha swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa al-Aqsa.

  • Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    May 24, 2020 06:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake kuwa ulimwengu wa Kiislamu utaibuka na ushindi dhidi ya maadui.

  • Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    May 24, 2020 03:27

    Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds kwa ajili ya ibada.

  • Wizara ya Ulinzi ya Iran: Tutaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Wizara ya Ulinzi ya Iran: Tutaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    May 23, 2020 05:45

    Wizara ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaendelea kuziunga mkono na kuzipa misaada isiyo na kikomo harakati za muqawama za Palestina zinazopambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    May 23, 2020 03:36

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina amesema hotuba ya jana ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds imechora na kuanisha ramani ya njia ya ukombozi wa Palestina.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu kukaribia kuangamia utawala wa Kizayuni katika eneo

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu kukaribia kuangamia utawala wa Kizayuni katika eneo

    May 22, 2020 22:08

    "Bila shaka kirusi cha Uzayuni hakitadumu kwa muda mrefu na kwa kutegemea hima, imani, ghera ya vijana, mizizi ya kirusi hicho itang'olewa na kuondolewa katika eneo".

  • Siku ya Quds na kuongezeka makabiliano ya Wapalestina na  'Muamala wa Karne'

    Siku ya Quds na kuongezeka makabiliano ya Wapalestina na 'Muamala wa Karne'

    May 22, 2020 05:18

    Katika Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu 2020, Wapalestina wameimarisha harakati zao za kupinga mpango wa kibaguzi unaojulikana kama 'Muamala wa Karne'.

  • Zarif: Utawala wa Kizayuni wa Israel ndio mvunjaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    Zarif: Utawala wa Kizayuni wa Israel ndio mvunjaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    May 22, 2020 03:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani.

  • Palestina yakataa misaada ya Imarati iliyotumwa kupitia Tel Aviv

    Palestina yakataa misaada ya Imarati iliyotumwa kupitia Tel Aviv

    May 22, 2020 03:32

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kupokea misaaada iliyotumwa nchini humo na Umoja wa Falme za Kiarabu kupitia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS