-
Mbunge wa Tunisia: Jinai za Trump dhidi ya watu wa Palestina hazina mfano wake katika historia
May 21, 2020 22:13Mbunge wa Tunisia amesema kuwa jinai za Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya raia wa Palestina hazijawahi kushuhudiwa katika historia.
-
Takht-Ravanchi: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu itapelekea kuangaziwa kadhia ya Palestina duniani
May 21, 2020 04:55Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa amesema hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Siku ya Kimataifa ya Quds itaigeuza kadhia ya Palestina kuwa kadhia nambari moja duniani kinyume na jitihada zinazofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Kiongozi Muadhamu: Tutaliunga mkono taifa lolote linalopambana na utawala wa Kizayuni
May 21, 2020 03:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran italiunga mkono taifa lolote lile linalosimama kidete dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mjumbe wa UN: Israel inapaswa kuacha vitisho vya 'kupora ardhi za Wapalestina'
May 21, 2020 03:18Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Asia Magharibi ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel utupilie mbali mpango wake wa kunyakua na kuunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi zingine za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds, siku ya ushindi wa heshima dhidi ya udhalili
May 20, 2020 22:33Miaka 41 iliyopita, Imam Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliitangaza Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Palestina yafuta makubaliano yote iliyofikia na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel
May 19, 2020 22:36Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefuta makubaliano yote yaliyofikiwa kati ya mamlaka hiyo na Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Naibu wa Sheikh Zakzaky: Kadhia ya Palestina ni ya kidini, kiutu na kiakhlaqi kwa bara Afrika
May 18, 2020 22:55Naibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kadhia ya Palestina si tu suala la kidini, bali pia ni suala la kiutu na kiakhlaqi kwa mataifa ya Afrika.
-
Kamati ya Bunge la Iran yaidhinisha muswada dhidi ya utawala wa Kizayuni
May 18, 2020 05:30Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiisalmu (Bunge la Iran) imeidhinisha muswada wa namna ambavyo Iran itakabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika upeo wa kitaifa na kimataifa.
-
Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu: Marekani inabeba jukumu la uvamizi mpya wa Israel dhidi ya ardhi za Palestina
May 17, 2020 07:54Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu imetangaza kuwa, serikali ya Marekani inabeba dhima ya mipango ya utawala haramu wa Israel ya kupora na kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Jordan yatahadharisha kuhusu mapigano iwapo Israel itateka maeneo ya Ukingo wa Magharibi
May 16, 2020 03:28Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan ameutahadharisha utawala wa Israel kuwa utaraji mapigano makubwa iwapo utasonga mbele na mpango wake wa kuteka zaidi ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.