Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka

    UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka

    Dec 03, 2019 04:17

    Umoja wa Mataifa umesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina inausababishia uchumi wa Wapalestina hasara ya dola bilioni 2.5 kila mwaka.

  • Mwendesha Mashtaka wa ICC akataa tena kuchunguza shambulizi la makomandoo wa Israel

    Mwendesha Mashtaka wa ICC akataa tena kuchunguza shambulizi la makomandoo wa Israel

    Dec 03, 2019 04:12

    Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amekataa kufungua faili la kuchunguza shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya meli ya Marmar ya Uturuki iliyokuwa imebeba shehena ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza mwaka 2010.

  • Jamii ya kimataifa yakosolewa kwa kunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jamii ya kimataifa yakosolewa kwa kunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Dec 02, 2019 08:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imekikosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa hilo ni doa baya katika paji la uso la walimwengu.

  • 29 Novemba Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

    29 Novemba Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

    Nov 30, 2019 09:08

    Jana tarehe 29 Novemba iliadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

  • Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya

    Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu"

    Nov 26, 2019 22:13

    Wapalestina mapema leo wamepigana na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu" kupinga siasa za Marekani za kukingia kifua na kuhalalisha wizi wa ardhi za Palestina.

  • Mpalestina mwenye saratani afia jela Israel kwa kunyimwa matibabu

    Mpalestina mwenye saratani afia jela Israel kwa kunyimwa matibabu

    Nov 26, 2019 22:11

    Raia wa Palestina aliyekuwa anaugua ugonjwa wa saratani amepoteza maisha mikononi mwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kunyimwa matibabu na dawa.

  • Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Nov 26, 2019 04:35

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wametoa taarifa maalumu ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Nov 22, 2019 23:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amechukua msimamo wa kuunga mkono kwa hali na mali na bila ya masharti yoyote utawala haramu wa Israel na licha ya maazimio kadhaa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayopiga marufuku kuunganishwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo tokea mwaka 1967, ikiwemo miinuka ya Golan ya Syria, lakini bado serikali ya Washington inauchukulia ukaliaji mabavu huo wa utawala wa Kizayuni kuwa ni jambo halali na linaloruhusiwa.

  • Mousavi: Hatua za Marekani kuhusiana na Palestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa

    Mousavi: Hatua za Marekani kuhusiana na Palestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa

    Nov 21, 2019 23:46

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua na matamashi ya viongozi wa Marekani kuhusiana na Palestina ni ukiukaji wa wazi kabisa wa sheria za kimataifa.

  • Luxembourg: Umoja wa Ulaya unapasa kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Luxembourg: Umoja wa Ulaya unapasa kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Nov 21, 2019 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Luxembourg amesisitiza kwamba Umoja wa Ulaya ni lazima uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS