Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Maana ya

    Maana ya "kufutwa Israel" katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Nov 15, 2019 09:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa sababu ya masaibu ya sasa ya Ulimwengu wa Kiislamu hususan hali ya kusikitisha ya Palestina ni udhaifu wa Umoja wa Waislamu.

  • Iran, muungaji mkono halisi wa Wapalestina katika kukabiliana na Israel

    Iran, muungaji mkono halisi wa Wapalestina katika kukabiliana na Israel

    Nov 14, 2019 21:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko mstari wa mbele katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika kuwatetea watu wa Palestina.

  • Rais Rouhani: Palestina na Quds ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu

    Rais Rouhani: Palestina na Quds ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu

    Nov 14, 2019 07:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa Palestina na Quds tukufu ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu na kuongeza kuwa: Ulimwengu wa Kiislamu hautawaruhusu maadui kuwafanya walimwengu wasahau kadhia ya Palestina na Quds tukufu.

  • Guterres aitaka Israel ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu huko Palestina

    Guterres aitaka Israel ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu huko Palestina

    Nov 14, 2019 06:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya raia wa Palestina.

  • Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Nov 14, 2019 04:33

    Baada ya utawala haramu wa Kizayuni kukubali masharti ya wanamuqawama wa Palestina, makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Jihadul-Islami yamekubali pendekezo la Misri kwa ajili ya kusimamisha vita.

  • Tawi la kijeshi la Jihadul-Islami lashambulia mkusanyiko wa askari wa utawala wa Kizayuni

    Tawi la kijeshi la Jihadul-Islami lashambulia mkusanyiko wa askari wa utawala wa Kizayuni

    Nov 13, 2019 04:39

    Wanamuqawama wa tawi la Al-Quds la Harakati ya Jihadul-Islami la Palestina, wameshambulia kwa kombora mkusanyiko wa askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo la mashariki mwa Rafah.

  • Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Nov 09, 2019 04:22

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu ndani ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni Israel, imezidi kuongezeka huku suala la matatizo ya kisaikolojia likitajwa kuwa ndio sababu.

  • Qatar yasisitiza uungaji mkono wake kwa Wapalestina hadi wapate haki zao za kisheria

    Qatar yasisitiza uungaji mkono wake kwa Wapalestina hadi wapate haki zao za kisheria

    Nov 06, 2019 12:26

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amesema: Amani katika Mashariki ya Kati (Magharibi ya Asia) itapatikana pale tu taifa la Palestina litakaporejeshewa haki zake za kisheria.

  • Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Nov 05, 2019 11:00

    Mratibu Maalumu wa Amani wa Umoja wa Mataifa katika kanda ya Mashariki ya Kati amepongeza misimamo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kuhusu suala la kuitishwa uchaguzi mkuu huko Palestina.

  • Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds

    Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds

    Nov 03, 2019 04:45

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya shirika la mtandao wa kijamii wa Twitter la Marekani ya kufuta kurasa zenye mfungamano na harakati hiyo kwenye mtandao huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS