Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Sep 29, 2018 04:43

    Kwa akali Wapalestina saba wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 500 wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ziyad Al-Nakhalah achaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Jihadul-Islami ya Palestina

    Ziyad Al-Nakhalah achaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Jihadul-Islami ya Palestina

    Sep 28, 2018 23:15

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imetangaza kuwa katika uchaguzi wa ofisi ya kisiasa ya harakati hiyo, Ziyad Al-Nakhalah amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Dakta Ramadhan Abdullah Shalah.

  • Stratijia ya Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na

    Stratijia ya Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na "Muamala wa Karne"

    Sep 27, 2018 22:52

    Vyama na makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina Jumatano iliyopita yaliandika na kutayarisha mpango wa "Uokovu wa Taifa" kwa ajili ya kukabiliana na kile kilichopewa jina la "Muamala wa Karne" uliotayarishwa na Marekani kwa shabaha ya kumaliza kabisa kadhia ya Palestina.

  • Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Sep 26, 2018 23:30

    Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.

  • Ismail Hania ataka kuhitimishwa masaibu na machungu ya taifa la Palestina

    Ismail Hania ataka kuhitimishwa masaibu na machungu ya taifa la Palestina

    Sep 26, 2018 23:29

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameyataka mataifa ya dunia, kufanya hima kwa ajili ya kuhitimisha masaibu na machungu wanayokabiliwa nayo wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Utawala wa Kizayuni watoa muhula wa mwisho kwa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar; wawataka waondoke kijijini hapo

    Utawala wa Kizayuni watoa muhula wa mwisho kwa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar; wawataka waondoke kijijini hapo

    Sep 23, 2018 23:28

    Utawala wa Kizayuni umewapa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar katika mji wa Quds muda wa siku saba wawe wameondoka kijijini hapo.

  • Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo katika kuboreka hali ya mambo Ghaza

    Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo katika kuboreka hali ya mambo Ghaza

    Sep 23, 2018 10:32

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo kikuu katika kuboreka hali ya mambo ya Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS: Matamshi ya Mahmoud Abbas yanabainisha mtazamo wake binafsi

    HAMAS: Matamshi ya Mahmoud Abbas yanabainisha mtazamo wake binafsi

    Sep 22, 2018 13:14

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuhusu matamshi aliyotoa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuwa tayari kufanya mazungumzo na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwamba matamshi hayo yanaakisi mtazamo wake binafsi, wala hayawakilishi maoni ya wananchi wa Palestina.

  • Udharura wa kulazimishwa Israel kujiunga na mkataba wa nyuklia wa NPT

    Udharura wa kulazimishwa Israel kujiunga na mkataba wa nyuklia wa NPT

    Sep 22, 2018 03:58

    Katika Mkutano Mkuu la 62 la Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, kumesisitiziwa wajibu na udharura wa kulazimishwa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujiunga na Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia, NPT.

  • Saudia yawapiga marufuku Wapalestina laki 6 kwenda kuhiji

    Saudia yawapiga marufuku Wapalestina laki 6 kwenda kuhiji

    Sep 21, 2018 09:10

    Utawala wa Aal-Saud umewapiga marufuku Wapalestina laki sita kwenda katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kushiriki ibada za Hija na Umra.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS