-
Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamtaka Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina
Sep 21, 2018 03:16Wabunge 40 wa Kongresi ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina.
-
Wabunge wa Umoja wa Ulaya wataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina
Sep 20, 2018 23:31Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wamezitaka nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi na haraka iwezekanavyo nchi huru ya Palestina.
-
Ismail Hania: Maandamano ya Haki ya Kurejea na kuondolewa mzingiro hayatasimama
Sep 19, 2018 10:14Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, taifa la Palestina limeazimia kwamba, litasimama kidete kukabiliana na mzingiro wa adui Mzayuni hadi pale litakapousambaratisha.
-
Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza
Sep 18, 2018 02:40Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa ukatili na jinai, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Gaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Marekani yamtimua balozi wa Palestina kutoka Washington
Sep 17, 2018 03:06Baada ya serikali ya Marekani kukata misaada yake kwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), imemtimua balozi wa Palestina kutoka mjini Washington.
-
UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel
Sep 14, 2018 02:23Ukanda wa Ghaza umegeuka kuwa janga la kibinadamu lililogubikwa na madhila na utegemezi wa misaada kila uchao kutokana na mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi hiyo ya Palestina.
-
Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel
Sep 12, 2018 22:57Mahakama moja ya utawala haramu wa Israel imemhukumu kifungo cha miaka 35 jela kijana mlemavu wa Kipalestina kwa madai ya kuwashambulia askari wawili wa utawala huo katili.
-
Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump
Sep 12, 2018 09:21Utafiti mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti na Sera cha Palestina umeonesha kuwa, aghalabu ya Wapalestina hawana imani na Rais Donald Trump wa Marekani na wala hawataki serikali ya Washington ijihusishe na mazungumzo ya amani ya nchi yao.
-
Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington
Sep 11, 2018 20:48Husam Badran, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kufunga ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington inabainisha kutokuwa na matunda mwenendo wa mapatano.
-
Palestina: Marekani ni mlinda maslahi ya Israel
Sep 11, 2018 02:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amesema kuhusiana na kufungwa ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani kwamba hatua hiyo imethibitisha kwa mara nyingine kuwa Washington ni mwakilishi pekee wa Israel na mlinda maslahi ya utawala huo wa Kizayuni.