Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamtaka Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina

    Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamtaka Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina

    Sep 21, 2018 03:16

    Wabunge 40 wa Kongresi ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina.

  • Wabunge wa Umoja wa Ulaya wataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya wataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Sep 20, 2018 23:31

    Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wamezitaka nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi na haraka iwezekanavyo nchi huru ya Palestina.

  • Ismail Hania: Maandamano ya Haki ya Kurejea na kuondolewa mzingiro hayatasimama

    Ismail Hania: Maandamano ya Haki ya Kurejea na kuondolewa mzingiro hayatasimama

    Sep 19, 2018 10:14

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, taifa la Palestina limeazimia kwamba, litasimama kidete kukabiliana na mzingiro wa adui Mzayuni hadi pale litakapousambaratisha.

  • Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza

    Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza

    Sep 18, 2018 02:40

    Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa ukatili na jinai, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Gaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.

  • Marekani yamtimua balozi wa Palestina kutoka Washington

    Marekani yamtimua balozi wa Palestina kutoka Washington

    Sep 17, 2018 03:06

    Baada ya serikali ya Marekani kukata misaada yake kwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), imemtimua balozi wa Palestina kutoka mjini Washington.

  • UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel

    UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel

    Sep 14, 2018 02:23

    Ukanda wa Ghaza umegeuka kuwa janga la kibinadamu lililogubikwa na madhila na utegemezi wa misaada kila uchao kutokana na mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi hiyo ya Palestina.

  • Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Sep 12, 2018 22:57

    Mahakama moja ya utawala haramu wa Israel imemhukumu kifungo cha miaka 35 jela kijana mlemavu wa Kipalestina kwa madai ya kuwashambulia askari wawili wa utawala huo katili.

  • Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Sep 12, 2018 09:21

    Utafiti mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti na Sera cha Palestina umeonesha kuwa, aghalabu ya Wapalestina hawana imani na Rais Donald Trump wa Marekani na wala hawataki serikali ya Washington ijihusishe na mazungumzo ya amani ya nchi yao.

  • Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Sep 11, 2018 20:48

    Husam Badran, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kufunga ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington inabainisha kutokuwa na matunda mwenendo wa mapatano.

  • Palestina: Marekani ni mlinda maslahi ya Israel

    Palestina: Marekani ni mlinda maslahi ya Israel

    Sep 11, 2018 02:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amesema kuhusiana na kufungwa ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani kwamba hatua hiyo imethibitisha kwa mara nyingine kuwa Washington ni mwakilishi pekee wa Israel na mlinda maslahi ya utawala huo wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS