Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Trump kuwafukuza Wapalestina nchini Marekani

    Trump kuwafukuza Wapalestina nchini Marekani

    Sep 10, 2018 02:54

    Gazeti moja la nchini Marekani limeripoti kuwa, mshauri wa usalama wa taifa wa White House, leo Jumatatu atatangaza kufungwa ofisi ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington.

  • Uamuzi kwa manufaa ya Palestina; Paraguay yaurejesha ubalozi wake Tel Aviv

    Uamuzi kwa manufaa ya Palestina; Paraguay yaurejesha ubalozi wake Tel Aviv

    Sep 06, 2018 03:03

    Luis Alberto Castiglioni Waziri wa Mambo ya Nje wa Paraguay amesema kuwa nchi hiyo itaurajesha ubalozi wake Tel Aviv kutoka Quds Tukufu.

  • Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Sep 05, 2018 22:25

    Idadi kubwa ya Wapalestina wamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wakilalamikia hatua ya serikali ya Washington ya kukata misaada yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Ajili ya Wapalestina (UNRWA).

  • Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Sep 05, 2018 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema, Marekani imepoteza ustahiki wa kuwa msuluhishi katika suala la Palestina kutokana na kwenda sambamba na misimamo ya Israel.

  • HAMAS: Matamshi ya Rais Mahmoud Abbas sio msimamo wa taifa la Palestina

    HAMAS: Matamshi ya Rais Mahmoud Abbas sio msimamo wa taifa la Palestina

    Aug 29, 2018 23:07

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, matamshi Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katu hayaakisi msimamo wa wananchi wa taifa hilo madhulumu.

  • Indhari ya Wapalestina kuhusu kugawanywa msikiti wa al Aqsa

    Indhari ya Wapalestina kuhusu kugawanywa msikiti wa al Aqsa

    Aug 27, 2018 03:02

    Idara ya Waqfu ya Quds na inayosimamia msikiti wa al Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo ni sehemu takatifu kiimani na kiitikadi ya kila Muislamu isiyoweza kugawanywa wala kuwa na ubia.

  • Wapalestina: Marekani inajaribu kuturubuni kimabavu

    Wapalestina: Marekani inajaribu kuturubuni kimabavu

    Aug 26, 2018 22:49

    Mbunge mmoja wa Palestina amesema kuwa, uamuzi wa Marekani wa kukatisha misaada yake kwa Wapalestina ni kujaribu kuwarubuni kimabavu ili wakubaliane na mpango wa "Muamala wa Karne" wa kuiangamiza kikamilifu kadhia ya Palestina.

  • Idara ya Waqfu ya Baitul Muqaddas: Msikiti wa Al-Aqsa ni sehemu ya itikadi ya kila Muislamu

    Idara ya Waqfu ya Baitul Muqaddas: Msikiti wa Al-Aqsa ni sehemu ya itikadi ya kila Muislamu

    Aug 26, 2018 10:23

    Idara ya Waqfu ya Quds na masuala ya msikiti wa Al-Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo mtukufu ni sehemu ya asili ya itikadi ya kila Muislamu na kwa hivyo hauwezi kugawanywa wala kuwashirikisha watu wengine.

  • El Baradei alalamikia kimya cha Waarabu mbele ya jinai za Marekani kwa Wapalestina

    El Baradei alalamikia kimya cha Waarabu mbele ya jinai za Marekani kwa Wapalestina

    Aug 26, 2018 10:22

    Mwanasiasa maarufu wa Misri ambaye wakati fulani alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki, Muhammad el Baradei imezilalamikia vikali nchi za Kiarabu kwa kunyamazia kimya jinai za hivi karibuni za Marekani hasa za kuwakatia misaada Wapalestina.

  • Matamshi ya waziri wa Saudia ya kuitetea Israel yazidi kulaaniwa

    Matamshi ya waziri wa Saudia ya kuitetea Israel yazidi kulaaniwa

    Aug 23, 2018 10:35

    Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama na msemaji wa harakati ya Answarullah ya Yemen wamelaani vikali matamshi ya waziri wa wakfu wa utawala wa ukoo wa Aal Saud huko Saudi Arabia aliyeutetea na kuukingia kifua wazi wazi utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS