-
Abbas na Putin wazungumzia nafasi ya US katika mgogoro wa Palestina
Feb 13, 2018 03:59Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwambia Rais Vladimir Putin wa Russia kwamba nchi yake haitaikubali tena Marekani kuwa mpatanishi katika mgogoro wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Iran baada ya Mapinduzi ya Kiislamu imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina
Feb 10, 2018 12:55Mwanachama wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979, nchi hii imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina na pia ni nchi yenye taathira chanya zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu
Feb 09, 2018 11:00Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, Wapalestina na Mabedui wanaoishi katika kitongoji cha Area C katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina wapo katika hatari ya kufurushwa kwenye makazi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina na siasa za kinyama za Donald Trump
Feb 09, 2018 03:11Marekani imeshurutisha suala la kuanza tena kutoa msaada kwa Wakala wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Wakimbizi wa Palesrina (UNRWA) kwa mambo ambayo yanakinzana na maslahi ya Wapalestina.
-
Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Palestina
Feb 07, 2018 04:41Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kwa tuhuma kuwa alitaka kumdunga kisu askari wa Kizayuni.
-
Zaidi ya hospitali 10 za Ukanda wa Gaza zafungwa kutokana na uhaba wa umeme
Feb 05, 2018 23:18Zaidi ya hospitali 10 na vituo vya afya katika eneo lililowekewa mzingiro la Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu, zimefungwa kutokana na kukatwa umeme na uhaba wa fueli ya majenereta yanayotumia umeme wa dharura.
-
Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa
Feb 05, 2018 01:08Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Marekani yaeandelea kulaaniwa kwa kumuweka Haniya, kiongozi wa Hamas, katika orodha yake 'magaidi'
Feb 04, 2018 04:40Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani vikali hatua ya Marekani kumuweka katika orodha eti ya magaidi kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya
-
Ismail Haniya: Mapambano dhidi ya Wazayuni yataendelea
Feb 03, 2018 23:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, maamuzi ya Marekani katu hayatabadilisha msimamo wa harakati hiyo.
-
Kifurushi cha misaada mipya ya Kamisheni ya Ulaya kwa Palestina
Feb 01, 2018 11:19Kamisheni ya Ulaya imetangaza wazi misaada yake mipya kwa Palestina inayojumuisha misaada kwa ajili ya kulinda nafasi ya Quds na kuwaunga mkono wananchi wa Palestina kuelekea kuasisi nchi huru ya Palestina kama sehemu ya njia ya kupatikana nchi mbili katika mzozo wa Mashariki ya Kati.