-
Kufanyika kura ya maoni Palestina; mkakati na suluhisho la Iran
Jul 23, 2024 10:29Nasser Kanani, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, "suluhisho bora zaidi la kuhitimisha hali haramu ya sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni kufanyika kura ya maoni jumuishi kwa kushirikisha wakaazi wote na raia asili wa ardhi hiyo."
-
Ripota wa Umoja wa Mataifa akosoa vitendo vya kibaguzi vya utawala wa Israel
Jul 22, 2024 22:55Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina amekosoa mienendo ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina
Jul 22, 2024 07:28Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran yapongeza hukumu ya ICJ, yataka kura ya maoni kuamua mustakbali wa Palestina
Jul 20, 2024 23:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, njia bora zaidi ya kulipatia ufumbuzi suala la Palestina na kukomeshwa jinai za utawala haramu wa Israel, ni kufanyika kura ya maoni itakayowashirikisha Wapalestina wa ardhi zote za taifa hilo ili waamue mustakbali wao.
-
Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu
Jul 20, 2024 04:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuvitaja vitongoji ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kuwa ni kinyume cha sheria.
-
Wapalestina wapongeza uamuzi wa ICJ dhidi ya Israel
Jul 20, 2024 02:52Makundi ya kisiasa na kijamii ya Palestina yamepongeza uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kutazama ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa haramu na kinyume cha sheria.
-
Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel
Jul 19, 2024 22:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupinga kuasisiwa taifa huru la Palestina kwa mara nyingine tena imeidhihirishia dunia dhati ya ubaguzi wa rangi ya utawala huo haramu.
-
Russia: Migogoro ya Asia Magharibi inasababishwa na sera mbovu za Marerkani
Jul 18, 2024 05:49Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hali mbaya katika eneo la Asia Magharibi ni matokeo ya kushindwa sera mbovu za Marekani katika eneo.
-
Tume ya haki za binadamu Palestina yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Gaza
Jul 17, 2024 23:02Tume huru ya haki za binadamu ya Palestina imetangaza kuwa kuendelea kuzingirwa Ukanda wa Gaza kutapeleke eneo hilo la ardhi ya Palestina kuathiriwa mgogoro wa kibindamu ambayo haujawahi kushuhudiwa.
-
Vikosi vya Yemen na Iraq vyafanya operesheni za kuitetea Palestina
Jul 16, 2024 03:48Vikosi vya wanamaji na vya makombora vya Yemen vimefanya operesheni nyingine dhidi ya meli za mafuta zilizokuwa zikielekea katika bandari za utawala wa Kizayuni unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.