Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Paris

  • Rais wa Uturuki alaani kimya cha

    Rais wa Uturuki alaani kimya cha "watetezi wa haki za binadamu" mbele ya ukandamizaji mkubwa wa polisi wa Ufaransa

    Dec 11, 2018 02:36

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameyalaani vikali mashirika yanayojifanya kutetea haki za binadamu kutokana na kunyamazia kimya kikamilifu ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji nchini Ufaransa.

  • Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Dec 01, 2018 15:16

    Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.

  • Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar

    Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar

    Dec 01, 2018 15:06

    Jiji la Paris nchini Ufaransa limechukua uamuzi wa kumnyang'anya uraia wa fahari kiongozi wa chama tawala nchini Myanman, Aung San Suu Kyi kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris

    Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris

    Oct 31, 2018 02:27

    Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Saudi Arabia, imepewa uzingatiaji na kikao cha dunia cha haki za binaadamu mjini Paris, Ufaransa.

  • Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Jun 10, 2018 02:49

    Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimeelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi wa mkutano wa mjini Paris Ufaransa kuhusiana na Libya na kusema kuwa zinapinga uchaguzi wa Rais na Bunge uliopangwa kufanyika nchini humo tarehe 10 Disemba mwaka huu.

  • Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi

    Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi

    Dec 17, 2017 12:27

    Paris na Cairo zimesisitizia azma yao ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyuga tofauti za kijeshi na kiusalama.

  • Sisitizo la Rais Emmanuel Macron la kuendeleza sera za Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sisitizo la Rais Emmanuel Macron la kuendeleza sera za Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 27, 2017 04:15

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa, nchi yake itaendeleza sera za nchi yake za kurejesha amani na uthabiti na kusaidia kuundwa serikali yenye nguvu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wataalamu watangaza dawa ya kukinga Ukimwi, Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi, Paris

    Wataalamu watangaza dawa ya kukinga Ukimwi, Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi, Paris

    Jul 27, 2017 15:59

    Wataalamu walioshiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi uliofanyika Paris nchini Ufaransa wametangaza mbinu mpya ya kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV na kutibu maradhi ya Ukimwi.

  • Viongozi wa Kiislamu Ulaya waanza safari ya kulaani ugaidi

    Viongozi wa Kiislamu Ulaya waanza safari ya kulaani ugaidi

    Jul 09, 2017 02:52

    Makumi ya viongozi wa kidini na maimamu wa Swala za jamaa barani Ulaya wameanza safari ya kutembelea nchi kadhaa za bara hilo wakitokea mtaa mashuhuri wa Champs-Elysees mjini Paris. Viongozi hao wa kidini watatembelea maeneo yaliyokumbwa na mashambulizi ya kigaidi katika miezi ya hivi karibuni.

  • Rais wa Russia asisitiza ushirikiano katika utatuzi wa mgogoro wa Syria

    Rais wa Russia asisitiza ushirikiano katika utatuzi wa mgogoro wa Syria

    May 30, 2017 04:24

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisistiza kuhusu udharura wa kuwepo ushirikiano katika jitihada za kupambana na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS