Wazayuni wanafanya propaganda kubwa kujaribu kupotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zao na kuhusu kadhia nzima ya Palestina.
Wazayuni wameshambulia hospitali na kuua shahidi kwa umati na kwa mkupuo mmoja mamia ya Wapalestina.
Je, unaposikia Ukanda wa Ghaza unajua ni nini? Je umewahi kujiuliza kwa nini kwa zaidi ya miaka 75 sasa Wapalestina wanaendelea na mapambano hadi hivi sasa.