Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran

    Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran

    Mar 01, 2019 04:22

    Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Aal Thani Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, nchi hizo zinahitajia kuwa na maelewano na Tehran.

  • Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Feb 27, 2019 23:00

    Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.

  • Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran

    Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran

    Feb 26, 2019 11:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amewataka wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (PGCC) kufikia mwafaka na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan

    Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan

    Jan 27, 2019 08:22

    Baada ya safari ya siku mbili ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan mjini Doha, Qatar Mfalme wa Saudia pia alituma ujumbe huko Sudan ulioongozwa na mmoja wa mawaziri wake kwa ajili ya kukutana na al-Bashir.

  • Qatar: Tofauti zetu na Saudia zingali ziko pale pale, (P)GCC haijasaidia chochote kuzitatua

    Qatar: Tofauti zetu na Saudia zingali ziko pale pale, (P)GCC haijasaidia chochote kuzitatua

    Jan 24, 2019 00:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema, tofauti zilizojitokeza kati ya nchi yake na Saudi Arabia zingali ziko pale pale; na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC halijatoa msaada wowote kwa ajili ya kutatua mvutano huo.

  • Qatar yaipa Somalia msaada wa kijeshi, UAE yatengwa

    Qatar yaipa Somalia msaada wa kijeshi, UAE yatengwa

    Jan 18, 2019 04:04

    Qatar imeipa Somalia msaada wa kijeshi wa magari 68 ya deraya katika kile ambacho kimetajwa kuwa ni ishara ya kuongezeka ushawishi wa Qatar nchini humo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Jan 13, 2019 03:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) na Katibu Mkuu wake hawana nguvu yoyote. Mohammed Abdulrahman Aal Thani ameyasema hayo jana katika mazungumzo huko Doha na Abdullatif al Zayan Katibu Mkuu wa baraza hilo na Yusuf bin Alawi Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman.

  • Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Jan 11, 2019 04:08

    Rais Barham Salih wa Iraq siku ya Jumatano ya tarehe 9 Januari aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwa safari rasmi ya kuitembelea nchi hiyo.

  • Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Dec 21, 2018 05:10

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar ameuomba Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo zaidi Saudi Arabia ili iondoe vikwazo vyake dhidi ya Qatar.

  • Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati

    Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati

    Dec 17, 2018 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu ndio wahatarishaji wakuu wa utulivu na usalama wa nchi za Mashariki ya Kati na lengo lao kuu ni kuvunja amani ya nchi zote za eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS