-
Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran
Mar 01, 2019 04:22Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Aal Thani Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, nchi hizo zinahitajia kuwa na maelewano na Tehran.
-
Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Feb 27, 2019 23:00Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.
-
Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran
Feb 26, 2019 11:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amewataka wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (PGCC) kufikia mwafaka na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan
Jan 27, 2019 08:22Baada ya safari ya siku mbili ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan mjini Doha, Qatar Mfalme wa Saudia pia alituma ujumbe huko Sudan ulioongozwa na mmoja wa mawaziri wake kwa ajili ya kukutana na al-Bashir.
-
Qatar: Tofauti zetu na Saudia zingali ziko pale pale, (P)GCC haijasaidia chochote kuzitatua
Jan 24, 2019 00:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema, tofauti zilizojitokeza kati ya nchi yake na Saudi Arabia zingali ziko pale pale; na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC halijatoa msaada wowote kwa ajili ya kutatua mvutano huo.
-
Qatar yaipa Somalia msaada wa kijeshi, UAE yatengwa
Jan 18, 2019 04:04Qatar imeipa Somalia msaada wa kijeshi wa magari 68 ya deraya katika kile ambacho kimetajwa kuwa ni ishara ya kuongezeka ushawishi wa Qatar nchini humo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote
Jan 13, 2019 03:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) na Katibu Mkuu wake hawana nguvu yoyote. Mohammed Abdulrahman Aal Thani ameyasema hayo jana katika mazungumzo huko Doha na Abdullatif al Zayan Katibu Mkuu wa baraza hilo na Yusuf bin Alawi Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman.
-
Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani
Jan 11, 2019 04:08Rais Barham Salih wa Iraq siku ya Jumatano ya tarehe 9 Januari aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwa safari rasmi ya kuitembelea nchi hiyo.
-
Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia
Dec 21, 2018 05:10Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar ameuomba Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo zaidi Saudi Arabia ili iondoe vikwazo vyake dhidi ya Qatar.
-
Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati
Dec 17, 2018 23:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu ndio wahatarishaji wakuu wa utulivu na usalama wa nchi za Mashariki ya Kati na lengo lao kuu ni kuvunja amani ya nchi zote za eneo hilo.