Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar kuwajengea makazi wakimbizi wa Yemen

    Qatar kuwajengea makazi wakimbizi wa Yemen

    Dec 17, 2018 06:03

    Mfuko wa Maendeleo wa Qatar ambayo ni taasisi ya masuala ya kibinadamu ya nchi hiyo pamoja na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa zimesaini makubaliano ya kujenga makazi kwa ajili ya raia elfu 26 wa Yemen waliokimbia vita vya miaka minne nchini mwao.

  • Qatar: Baraza la (P)GCC halina uwezo na limebaki limeemewa

    Qatar: Baraza la (P)GCC halina uwezo na limebaki limeemewa

    Dec 15, 2018 10:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amesema kuwa, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi limebaki kimuundo tu lakini taratibu zake kiutendaji hazitekelezeki.

  • Qatar yakosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Qatar yakosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Dec 10, 2018 03:05

    Qatar imekosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ikisema kuwa, imeangalia mambo kijuujuu na kuweka kando matatizo ya kweli yanayolikabili baraza hilo.

  • Qatar kujiondoa OPEC Januari 2019

    Qatar kujiondoa OPEC Januari 2019

    Dec 03, 2018 04:33

    Qatar imetangaza kuwa itajiondoa katika Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) mwezi ujao wa Januari 2019.

  • Misri na Saudia zasema mzingiro dhidi ya Qatar utaendelea

    Misri na Saudia zasema mzingiro dhidi ya Qatar utaendelea

    Nov 28, 2018 04:11

    Saudi Arabia na Misri zimesema mzingiro na vikwazo zilivyoiwekea Qatar kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa vitaendelea kwa muda usiojulikana, licha ya Doha kuwasilisha lalama zake mbele ya mahakama za kimataifa na taasisi za Umoja wa Mataifa ili kushinikiza kuhitimishwa mzingiro huo.

  • Baada ya kufeli njama zao sasa viongozi wa Saudia waanza kujipendekeza kwa Qatar

    Baada ya kufeli njama zao sasa viongozi wa Saudia waanza kujipendekeza kwa Qatar

    Oct 31, 2018 12:04

    Mfichuaji mmoja mkubwa wa ufisadia wa utawala wa Aal Saud amefichua kwamba viongozi wa ngazi za juu wa Saudi Arabia wamejipeleka kwa siri nchini Qatar lakini viongozi wa Doha wamewadhalilisha viongozi hao wa Saudia.

  • Waqatari wapinga kuhuishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Waqatari wapinga kuhuishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Oct 28, 2018 04:43

    Makundi mbalimbali ya wananchi wa Qatar yametangaza kuwa yanapinga kuhuishwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel sambamba na kushuhudiwa harakati za baadhi ya nchi za Kiarabu za kutaka kuhuisha uhusiano na utawala huo wa Kizayuni.

  • Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Oct 27, 2018 23:04

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Qatar ameashiria matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Muhammad bin Salman kwamba Saudi Arabia ina hamu ya kuanzisha tena uhusiano na Qatar na kusisitiza kwamba: Nchi nne zilizoisusia na kuiwekea vikwazo Qatar zinapaswa ziiombe radhi.

  • Serikali ya Qatar nayo yaitaka Saudi Arabia kueleza walipo raia wake waliotekwa nyara na nchi hiyo

    Serikali ya Qatar nayo yaitaka Saudi Arabia kueleza walipo raia wake waliotekwa nyara na nchi hiyo

    Oct 15, 2018 01:16

    Huku dunia ikiwa bado inaishinikiza Saudia kuweka wazi hatma ya mwandishi wa habari na mkosoaji wake aliyetoweka katika ubalozi wa nchi hiyo nchini Uturuki, serikali ya Qatar kupitia mkuu wa kamisheni ya kitaifa ya haki za binaadamu, ameitaka Riyadh kuieleza Doha kuhusu hatma ya raia wake waliotekwa nyara na utawala wa Aal Saud.

  • Ndege za Qatar Airways kuendelea na safari za Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Ndege za Qatar Airways kuendelea na safari za Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Oct 09, 2018 04:33

    Shirika la ndege la Qatar Airways limesema safari za ndege za shirika hilo za kwenda na kutoka Iran zitaendelea kama kawaida, licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS