Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Jul 08, 2017 12:23

    Misri imeifungia Qatar njia zote za majini zinazotumiwa na meli za Qatar isipokuwa mfereji wa Suez.

  • Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa

    Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa

    Jul 07, 2017 22:22

    Mwakilishi mmoja wa Bunge la Misri amefichua baadhi ya hatua zinazotarajiwa kuchukuliwa katika siku zijazo na Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya Qatar.

  • Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati

    Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati

    Jul 07, 2017 10:35

    Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi wa uwezekano wa kuongezeka hali ya mvutano kati ya Qatar na Saudi Arabia.

  • Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar

    Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar

    Jul 06, 2017 23:28

    Saudi Arabia na waitifaki wake zimetoa taarifa ya pamoja na kudai kuwa hatua ya Qatar ya kukataa masharti ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo vya kila namna nchi hiyo inaonesha nia ya Doha ya kuhatarisha usalama na utulivu wa eneo hili.

  • Jibu la Qatar kwa mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi ya nchi nne za Kiarabu na Marekani

    Jibu la Qatar kwa mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi ya nchi nne za Kiarabu na Marekani

    Jul 04, 2017 23:35

    Katika hali ambayo Qatar inakabiliwa na mgogoro wa kidiplomasia na mzingiro wa nchi nne za Kiarabu, nchi hiyo sasa imeamua kuongeza uzalishaji wake wa gesi asilia hadi asilimia 30 katika kipindi cha miaka kadhaa ijayo.

  • Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar

    Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar

    Jul 04, 2017 03:25

    Kwa mara nyingine Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Misri wameituhumu Qatar kwamba, inaunga mkono ugaidi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi majirani na kufanya mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita

    Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita

    Jul 03, 2017 02:11

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuilinda nchi hiyo endapo itakabiliwa na chokochoko tarajiwa za maadui.

  • Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakabiliwa na tishio kuu, huku muda wa masharti ya Saudia ukimalizika leo

    Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakabiliwa na tishio kuu, huku muda wa masharti ya Saudia ukimalizika leo

    Jul 03, 2017 00:15

    Katika hali ambayo muhula wa siku kumi Uliotolewa na Saudia na waitifaki wake kwa Qatar ili Ikubali masharti ya Riyadh unamalizika leo Jumatatu tarehe tatu Julai, mgogoro katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi sasa umeingia katika marhala mpya.

  • Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu

    Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu

    Jul 01, 2017 02:49

    Wananchi wa Qatar wamesusia bidhaa za nchi nne za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri baada ya nchi hizo kuendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yao.

  • Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia

    Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia

    Jul 01, 2017 02:07

    Saudi Arabia na waitifaki wake wamezidi kuitunishia misuli Qatar kwa kuipa masharti 13 magumu ambayo ni muhali kutekelezeka. Viongozi wa nchi mbalimbali, wanasiasa mashuhuri wa kieneo na kimataifa akiwemo pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, wote wamesema kuwa masharti hayo hayatekelezeki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS