Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Oct 19, 2022 04:40

    Waziri wa Masuala ya Nishati wa Qatar ametangaza kuwa haitazamiwi katika msimu ujao wa baridi kali shehena ya gesi iliyopangwa kwenda Asia kuelekea Ulaya.

  • Mazungumzo ya kuondoa vikwazo; ajenda kuu ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Qatar

    Mazungumzo ya kuondoa vikwazo; ajenda kuu ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Qatar

    Sep 20, 2022 03:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar wamezungumzia suala la kuondolewa vikwazo katika fremu ya vikao vya Vienna.

  • Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi ya upinzani wasaini makubaliano ya amani Qatar

    Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi ya upinzani wasaini makubaliano ya amani Qatar

    Aug 08, 2022 22:18

    Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi zaidi ya 40 ya upinzani wamesaini makubaliano ya amani mjini Doha, Qatar kwa lengo la kuanzisha mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa, huku kundi kuu la waasi katika nchi hiyo Afrika ya Kati likikataa kusaini mapatano hayo.

  • Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Jul 17, 2022 22:01

    Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.

  • Shamkhani: Tumeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika

    Shamkhani: Tumeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika

    Jul 07, 2022 03:50

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar hapa Tehran kuwa Iran imeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika.

  • Rais wa Iran na Mfalme wa Qatar wabadilishana mawazo kuhusu mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Rais wa Iran na Mfalme wa Qatar wabadilishana mawazo kuhusu mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Jun 30, 2022 22:14

    Rais Ebrahim Raisi amesisitiza kuhusu misimamo ya wazi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo vya kidhalimu lilivyowekewa taifa hili.

  • Mazungumzo ya Doha yamalizika, pande husika zaahidi kudumisha mawasiliano

    Mazungumzo ya Doha yamalizika, pande husika zaahidi kudumisha mawasiliano

    Jun 30, 2022 03:45

    Mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani kuhusu uondoaji vikwazo yaliyoanza juzi Jumanne katika mji mkuu wa Qatar, Doha yamemalizika; huku pande mbili zikisema kuwa zitaendelea kuwasiliana juu ya marhala zijazo za mazungumzo hayo.

  • Bagheri Kani aelekea Doha kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya JCPOA

    Bagheri Kani aelekea Doha kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya JCPOA

    Jun 28, 2022 03:36

    Kiongozi wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA anaelekea Doha, mji mkuu wa Qatar kwa ajili kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mfalme wa Saudia aibembeleza Qatar iimarishe uhusiano na Riyadh

    Mfalme wa Saudia aibembeleza Qatar iimarishe uhusiano na Riyadh

    Jun 17, 2022 06:55

    Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz amemuandikia barua Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani akiiomba Doha ichukue hatua za kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Riyadh.

  • Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili

    Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili

    May 13, 2022 06:27

    Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Amir wa Qatar aliwasili mjini Tehran siku ya Alhamisi kwa ziara rasmi ambapo amekutana na kuzungumza na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS