Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qur'ani Tukufu

  • Raisi: Kuivunjia heshima Qurani ni tusi kwa dini za mbinguni, utu

    Raisi: Kuivunjia heshima Qurani ni tusi kwa dini za mbinguni, utu

    Jan 27, 2023 02:48

    Rais wa Iran amesema vitendo vya karibuni vya kuvunjia heshima Qurani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya ni tusi kwa dini zote za mbinguni zenye asili ya Nabii Ibrahim (AS), na kwa jamii yote ya wanadamu.

  • Kiongozi Muadhamu alaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya

    Kiongozi Muadhamu alaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya

    Jan 26, 2023 05:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."

  • Nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima tena Qurani Uholanzi

    Nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima tena Qurani Uholanzi

    Jan 25, 2023 11:48

    Mataifa na jumuiya za Kiislamu kote duniani zimelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Uholanzi, siku chache baada ya kutokea uafriti mwingine wa kukichoma Kitabu hicho Kitakatifu cha Waislamu nchini Sweden.

  • "Sweden haiwezi kuficha chuki zake dhidi ya Uislamu kwa barakoa ya uhuru"

    Jan 25, 2023 02:30

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden na kueleza kuwa, nchi hiyo ya Magharibi haiwezi kuficha chuki zake dhidi ya Uislamu kwa kutumia barakoa ya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

  • Walimwengu waendelea kulaani kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchinii Sweden

    Walimwengu waendelea kulaani kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchinii Sweden

    Jan 23, 2023 07:14

    Wananchi wa mataifa mbalimbali ya Kiislamu na yasiyo ya Kiislamu wameendelea kulaani hatua ya kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden.

  • Hizbullah, nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Hizbullah, nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Jan 23, 2023 05:03

    Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imejiunga na nchi za Kiislamu duniani kulaani kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden (Uswidi), na kusisitiza kuwa kuyavunjia heshima matukufu ya Umma wa Kiislamu ni jambo lisilokubalika.

  • Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Jan 22, 2023 08:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden.

  • Nchi 80 kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

    Nchi 80 kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

    Dec 26, 2022 11:57

    Finali za Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran zitaanza katika mji mkuu wa Iran, Tehran, mnamo Februari 18, 2023.

  • Waislamu wahadharishwa na usambazwaji wa nakala zilizopotoshwa za Qur'ani katika intaneti

    Waislamu wahadharishwa na usambazwaji wa nakala zilizopotoshwa za Qur'ani katika intaneti

    Dec 11, 2022 02:29

    Jumuiya ya Kimataifa ya Uislamu imetangaza kuwa, kuna nakala zilizopotoshwa za Qur'ani Tukufu zinazosambazwa katika baadhi ya tovuti zisizojulikana rasmi.

  • Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Oct 11, 2022 12:12

    Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qurani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS