Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Jul 17, 2020 10:38

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.

  • Rais Rouhani: Iran katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa hasa Marekani

    Rais Rouhani: Iran katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa hasa Marekani

    Jul 15, 2020 12:58

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa na hasa Marekani na akaongeza kwamba: Marekani ijue kwamba, kamwe haitafikia malengo yake licha ya hatua zake haribifu inazochukua dhidi ya maslahi ya taifa la Iran.

  • Rouhani: Kuendesha nchi bila kutegemea pato la mafuta ni kielelezo cha nguvu ya Iran katika vita vya kiuchumi

    Rouhani: Kuendesha nchi bila kutegemea pato la mafuta ni kielelezo cha nguvu ya Iran katika vita vya kiuchumi

    Jul 14, 2020 10:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuendesha nchi hii bila ya kutegemea sana pato la mauzo ya mafuta ni kielelezo cha nguvu kubwa ya Iran katika medani ya vita vya kiuchumi.

  • Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Jul 14, 2020 03:19

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano na mshikamano uliopo miongoni mwa mihimili mitatu ya dola, bila shaka utaipelekea Iran kuibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Rouhani: Umoja na kujituma, ufunguo wa kusimama kidete dhidi ya maadui

    Rouhani: Umoja na kujituma, ufunguo wa kusimama kidete dhidi ya maadui

    Jul 09, 2020 15:30

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja na jitihada ni mambo mawili ambayo yamefanikisha muqawama wa taifa hili dhidi ya maadui.

  • Rouhani: Iran ina uhusiano mzuri na nchi jirani

    Rouhani: Iran ina uhusiano mzuri na nchi jirani

    Jul 08, 2020 16:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ina uhusiano mzuri na nchi jirani.

  • Rais Rouhani: Njama za maadui za kusambaratisha uchumi wa Iran zitagonga mwamba

    Rais Rouhani: Njama za maadui za kusambaratisha uchumi wa Iran zitagonga mwamba

    Jul 05, 2020 14:26

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema katu maadui hawatafanikiwa katika njama zao za kutaka kuvuruga uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rais Rouhani: Iran imefanya kazi kubwa katika kudhamini dawa na vifaa vya matibabu

    Rais Rouhani: Iran imefanya kazi kubwa katika kudhamini dawa na vifaa vya matibabu

    Jul 04, 2020 11:56

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia tadibiri na mipango imara humu nchini katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 na kusema kuwa, Iran imefanya kazi kubwa katika kudhamini dawa na vifaa vya tiba na matibabu.

  • Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Jul 02, 2020 11:38

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Mchakato wa Astana ungali ndio mpango pekee uliofanikiwa kusaidia kutatua mgogoro wa Syria kwa njia ya amani.

  • Rais Rouhani: Askari magaidi wa Marekani wanapaswa kuondoka magharibi mwa Asia hususan Syria

    Rais Rouhani: Askari magaidi wa Marekani wanapaswa kuondoka magharibi mwa Asia hususan Syria

    Jul 01, 2020 12:58

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la kuheshimu mamlaka ya Syria na kujitawala nchi hiyo ni msingi mkuu ambao haupaswi kuguswa na kusisitiza kuwa, wanajeshi magaidi wa Marekani wanapaswa kuondoka eneo la magharibi mwa Asia hususan huko Syria haraka iwezekanavyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS