Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani: Iran itasimama kidete zaidi dhidi ya ubeberu wa Marekani

    Rouhani: Iran itasimama kidete zaidi dhidi ya ubeberu wa Marekani

    Jun 25, 2020 08:01

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litasimama kidete zaidi kukabiliana na sera za kibeberu za Marekani hata kuliko huko nyuma.

  • Rouhani: Wakala wa IAEA unapasa kulinda uhuru na kujitawala kwake

    Rouhani: Wakala wa IAEA unapasa kulinda uhuru na kujitawala kwake

    Jun 24, 2020 13:15

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria azimio lililotolewa na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran na kueleza kuwa: Wakala huo unapasa kubakia katika mkondo wake wa kisheria kwa kulinda uhuru kujitawala kwake mkabala na mashinikio ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rouhani: Iran imepata maksi nzuri katika kupambana na corona

    Rouhani: Iran imepata maksi nzuri katika kupambana na corona

    Jun 20, 2020 11:59

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utendaji kazi wa Jamhuri ya Kiislamu katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19 umepata alama na maksi nzuri ikilinganishwa na nchi nyingine duniani hata zilizoendelea.

  • Rouhani: Marekani inapanga njama kuzuia kuondolewa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Rouhani: Marekani inapanga njama kuzuia kuondolewa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 10, 2020 12:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kufutwa vikwazo vyote vya silaha dhidi ya Iran baadaye mwezi Oktoba mwaka huu na kusema Marekani imeghadhabishwa na mpango wa kufutwa vikwazo hivyo na sasa inapanga njama ya kutaka vikwazo hivyo visalie.

  • "Hatukuiruhusu Marekani ikandamize kwa goti uzalishaji nchini Iran"

    Jun 09, 2020 08:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kaulimbiu ya 'Ustawi mkubwa katika Uzalishaji' ndiyo suluhu ya matatizo yote ya kiuchumi ya Jamhuri ya Kiislamu, na hilo litaafikiwa kwa ushirikiano na jitihada za pamoja.

  • Rouhani: Ramadhan Shalah alisabilia maisha yake kupambana na Wazayuni

    Rouhani: Ramadhan Shalah alisabilia maisha yake kupambana na Wazayuni

    Jun 08, 2020 02:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria tukio la kuaga dunia katibu mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema kuwa, shakhsia huyo alisabilia maisha yake yote katika kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rais Rouhani: Watu wa afya daima wamekuwa wakipata mafanikio ya kujivunia nchini Iran

    Rais Rouhani: Watu wa afya daima wamekuwa wakipata mafanikio ya kujivunia nchini Iran

    Jun 06, 2020 11:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia mafanikio waliyoyapata watu wa afya humu nchini katika masuala ya kisayansi na utafiti wa kupambana na kirusi cha corona na kusema, watu wa fya nchini Iran daima wamekuwa wakipata mafanikio ya kujivunia.

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Jun 02, 2020 11:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.

  • Rouhani: Utendaji mzuri wa Iran katika kukabililiana na COVID-19 utabakia katika historia

    Rouhani: Utendaji mzuri wa Iran katika kukabililiana na COVID-19 utabakia katika historia

    Jun 01, 2020 04:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria takwimu za taathira ya corona katika uchumi wa baadhi ya nchi zilizostawi duniani na kusema: "Utendaji mzuri wa siku 100 wa wafanyakazi wa sekta ya tiba na taifa la Iran katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 utabakia katika historia."

  • Uzinduzi wa miradi ya ustawi wa uchumi wa kidijitali nchini Iran

    Uzinduzi wa miradi ya ustawi wa uchumi wa kidijitali nchini Iran

    May 28, 2020 11:39

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameshiriki katika uzinduzi wa miradi minne ya miundo msingi wa kidijitali ya Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS