-
Rais Rouhani aihutubu Marekani: Biashara yetu na Venezuela haiwahusu
May 28, 2020 02:23Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kujaribu kuingilia miamala ya kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyingine huru duniani.
-
Rais Rouhani: Bunge la Iran ni nembo ya demokrasia ya kidini
May 27, 2020 17:03Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema bunge ni nembo ya demokrasia kote duniani, lakini ni nembo ya demokrasia ya kidini katika Jamhuri ya Kiislamu.
-
Rais wa Iran aidhinisha sheria ya kukabili jinai za Israel
May 27, 2020 03:47Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameidhinisha kuwa sheria, muswada wa kukabiliana na uhasama na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika upeo wa kitaifa na kimataifa.
-
Rouhani: Uswisi iwe na nafasi athirifu kuhusu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani
May 26, 2020 11:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na Rais wa Uswisi na kusema: "Tehran inataraji kuwa Uswisi itakuwa na nafasi athirifu katika kukabiliana na ongezeko la vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na ubinadamu vya Marekani dhidi ya Iran."
-
Rais Rouhani alipongeza taifa la Lebanon kwa kuwadia sikukuu ya ushindi wa muqawama
May 25, 2020 03:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelipongeza taifa la Lebanon kwa mnasaba wa kuwadia sikukuu ya muqawama, yaani maadhimisho ya ushindi mkubwa na wa kujivunia wa wananchi wa Lebanon dhidi ya wavamizi wa nchi yao, yaani utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais Rouhani aitahadharisha Marekani kuhusu kutatiza meli za mafuta za Iran
May 24, 2020 07:49Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria baadhi ya chokochoko za Marekani katika eneo la Bahari ya Caribbean na kusema: "Iwapo meli za mafuta za Iran zitakabliwa na tatizo lolote kutoka Marekani, basi Iran nayo itawaibulia matatizo."
-
Rais wa Iran awatumia salamu za Idul Fitr viongozi wa nchi za Kiislamu
May 24, 2020 04:21Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.
-
Rouhani: Njama za uistikbari wa dunia dhidi ya taifa la Iran zilihitimishwa tarehe 3 Khordad
May 23, 2020 08:12Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kuwa siku ya kukombolewa mji wa Khoram-shahr haijasahaulika na kuleza kuwa njama kuu ya uistikbari wa dunia, kimataifa na kieneo dhidi ya taifa la Iran ilihitimishwa tarehe Tatu mwezi Khordad.
-
Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97
May 23, 2020 07:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Pakistan kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo iliyoua makumi ya watu.
-
"Siku ya Kimataifa ya Quds ni nembo ya uvumilivu, umoja na mshikamano wa Waislamu"
May 22, 2020 03:17Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameielezea Siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa hii leo kote duniani kama utamaduni mzuri na nembo ya uvumilivu, umoja na mshikamano wa Waislamu katika kuhami na kutetea thamani za Kiislamu.