Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: JCPOA ni dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran

    Rais Rouhani: JCPOA ni dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran

    May 06, 2018 12:25

    Rais Hassan Rouhani amesema: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambao ni mkataba wa kimataifa na dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran hauwezi kufanyiwa mabadiliko yoyote.

  • Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni

    Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni

    May 06, 2018 03:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Rais wa Marekani na utawala wa Kizayuni na kutilia mkazo kuwa wananchi wa Iran hawapendi vita, lakini wanajilinda na kujitetea kwa dhati.

  • Rais Rouhani: Njama kubwa za maadui ni kulikatisha tamaa taifa la Iran + Video

    Rais Rouhani: Njama kubwa za maadui ni kulikatisha tamaa taifa la Iran + Video

    Apr 29, 2018 11:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama kubwa zinazoendeshwa na maadui wa taifa hili hivi sasa ni kujaribu kuwavunja moyo na kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran.

  • Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Apr 24, 2018 12:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna na kusisitiza kuwa, endapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa kama inavyotishia, basi hatua hiyo itakuwa na matokeo mabaya.

  • Rouhani: Iran na Uturuki zitaendelea kushirikiana ili kuzima taharuki Syria

    Rouhani: Iran na Uturuki zitaendelea kushirikiana ili kuzima taharuki Syria

    Apr 18, 2018 03:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashambulizi ya hivi karibuni ya kijeshi yaliyofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria yameacha mfano wenye sura ya kutisha kwenye uhusiano wa kimataifa, na kusisitiza kwamba Iran na Uturuki zitaendelea kuwa na ushirikiano wa karibu kwa lengo la kuzuia kushtadi taharuki katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Rouhani: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni uungaji mkono wa ugaidi

    Rouhani: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni uungaji mkono wa ugaidi

    Apr 14, 2018 12:57

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mashambulizi yaliyofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Iran ni hatua iliyochukuliwa kuimarisha ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Kubaathiwa Mtume wa Uislamu SAW, ni tukio kubwa zaidi katika historia

    Rouhani: Kubaathiwa Mtume wa Uislamu SAW, ni tukio kubwa zaidi katika historia

    Apr 11, 2018 03:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa munasaba wa mwaka mpya wa Hijria Shamsia na Idi za Mwezi wa wa Rajab na kusema tukio la Kubaathiwa Mtume Mtukufu wa Uislamu SAW ni tukio kubwa zaidi lenye taathira katika historia na ni neema muhimu zaidi ya Mwenyezi Mungu kwa jamii ya wanadamu.

  • Rais Rouhani: Juhudi za Iran, Russia na Uturuki zimeleta mafanikio makubwa kwa Syria

    Rais Rouhani: Juhudi za Iran, Russia na Uturuki zimeleta mafanikio makubwa kwa Syria

    Apr 04, 2018 21:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, juhudi za pande tatu za Iran, Uturuki na Russia zimepelekea Syria kupata mafanikkio makubwa katika vita dhidi ya magaidi na kwamba, kuna haja ya juhudi hizo kuendelezwa hadi pale wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu watakapoweza kuishi katika mazingira tulivu na ya amani kamili.

  • Marais wa Iran, Uturuki na Russia: Mikutano ya Astana imesaidia kupunguza machafuko ya Syria

    Marais wa Iran, Uturuki na Russia: Mikutano ya Astana imesaidia kupunguza machafuko ya Syria

    Apr 04, 2018 10:30

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uturuki na Russia wametoa taarifa yao ya pamoja ambayo imeashiria mikutano ya Astana nchini Kazakhstan na kusema kuwa, ubunifu huo wa kimataifa ulikuwa na taathira kubwa katika kupunguza machafuko katika maeneo mbalimbali ya Syria na kuwa na nafasi pia katika kurejesha amani na utulivu wa nchini humo.

  • Rouhani: Uhusiano mwema na majirani pamoja na dunia ni sera ya msingi ya Iran

    Rouhani: Uhusiano mwema na majirani pamoja na dunia ni sera ya msingi ya Iran

    Apr 03, 2018 09:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano mwema na nchi jirani na dunia kwa ujumla ni kati ya sera za msingi za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS