Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani aipongeza Tanzania kwa mnasaba wa uhuru wa Tanganyika

    Rais Rouhani aipongeza Tanzania kwa mnasaba wa uhuru wa Tanganyika

    Dec 09, 2017 11:51

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amemtumia salamu za pongezi, kheri na fanaka Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 06, 2017 22:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Marais wa Iran na Uturuki watoa wito wa kusimama kidete dhidi ya njama  mpya huko Palestina

    Marais wa Iran na Uturuki watoa wito wa kusimama kidete dhidi ya njama mpya huko Palestina

    Dec 06, 2017 11:35

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wametoa wito wa kusimama kidete na kuchukuliwa hatua za maana kwa ajili ya kukabiliana na njama mpya dhidi ya taifa madhulumu la Palestina.

  • Rouhani awapongeza Waislamu kwa Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (saw)

    Rouhani awapongeza Waislamu kwa Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (saw)

    Dec 06, 2017 01:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza Waislamu kote duniani na kuwapa mkono wa heri na baraka kwa mnasaba wa siku ya leo tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal, siku aliyozaliwa ndani yake mbora wa viumbe na rehma ya Mwenyezi Mungu kwa viumbe wake, Muhammad bin Abdullah (saw).

  • Rais Rouhani: Nguzo kuu za ugaidi katika eneo zimeporomoka

    Rais Rouhani: Nguzo kuu za ugaidi katika eneo zimeporomoka

    Dec 05, 2017 12:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa leo, nguzo kuu za ugaidi katika eneo la Asia Magharibi zimeporomoka na kuongeza kuwa, 'sehemu kubwa ya njama za madola makubwa duniani, uistikabri na Uzayuni dhidi ya mataifa ya eneo zimegonga mwamba.'

  • Rais Rouhani: Bandari ya Chabahar itasafirisha bidhaa kuelekea nchi jirani na Iran kwa gharama nafuu zaidi

    Rais Rouhani: Bandari ya Chabahar itasafirisha bidhaa kuelekea nchi jirani na Iran kwa gharama nafuu zaidi

    Dec 03, 2017 04:52

    Awamu ya kwanza ya upanuzi wa gati ya bandari ya kimataifa ya Shahidi Beheshti iliyoko Chabahar kusini mashariki mwa Iran imeanza rasmi leo katika hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wawakilishi wa nchi 17 duniani.

  • Rouhani: Uhasama wa Saudia ni mbinu ya kuficha changamoto zinazoikabili

    Rouhani: Uhasama wa Saudia ni mbinu ya kuficha changamoto zinazoikabili

    Nov 29, 2017 04:50

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Saudi Arabia kushadidisha uhasama na uadui wake dhidi ya Tehran ni mbinu ya kujaribu kuficha kufeli kwake katika masuala ya kieneo sawa na changamoto zinazoukabili utawala wa Riyadh ndani ya nchi hiyo.

  • Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Syria katika vita dhidi ya ugaidi

    Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Syria katika vita dhidi ya ugaidi

    Nov 26, 2017 00:15

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuendelezwa vita dhidi ya makundi ya kigaidi na kusema kuwa, Iran itaendelea kuwa pamoja na wananchi na serikali ya Syria katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Nov 25, 2017 12:50

    Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameendelea kulaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa msikitini katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua mamia ya watu wasio na hatia yoyote.

  • Rais Rouhani: Natija ya kikao cha Sochi ni kuundwa Kongamano la Kitaifa Syria

    Rais Rouhani: Natija ya kikao cha Sochi ni kuundwa Kongamano la Kitaifa Syria

    Nov 23, 2017 00:59

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, natija kuu katika kikao cha Sochi ni kuundwa kongamano la kitaifa la mazungumzo baina ya Wasyria ili kwa njia hiyo, Wasyria kutoka kaumu, dini na madhehebu zote, wakiwemo wapinzani na waungaji mkono wa serikali wakujumuike pamoja kujadili mustakbali wa nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS