Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani awasilisha pendekezo la kutatua mgogoro wa Syria

    Rais Rouhani awasilisha pendekezo la kutatua mgogoro wa Syria

    Nov 22, 2017 13:04

    Rais Hassan Rouhani anayeshiriki kikao cha marais wa Russia, Uturuki na Iran katika mji wa Suchi amewasilisha pendekezo lenye vifungu vikuu vitatu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Syria.

  • Rais Rouhani: Kushindwa magaidi wa Daesh ni habari njema kwa Iran na Mashariki ya Kati

    Rais Rouhani: Kushindwa magaidi wa Daesh ni habari njema kwa Iran na Mashariki ya Kati

    Nov 21, 2017 10:52

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kung'olewa mizizi ya kundi la kigaidi la Daesh na kusambaratishwa misingi yake huko nchini Syria ni habari njema kwa wananchi wa Iran na wa mataifa ya Mashariki ya Kati.

  • Rais Rouhani wa Iran ampongeza Rais Kenyatta wa Kenya kwa kuchaguliwa tena

    Rais Rouhani wa Iran ampongeza Rais Kenyatta wa Kenya kwa kuchaguliwa tena

    Nov 21, 2017 04:15

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ujumbe wa kumpongeza kufuatia kuchaguliwa tena kuwa rais wa Kenya.

  • Rais Rouhani: Serikali itaendelea kuwa pamoja na wananchi walioathiriwa na tetemeko la ardhi

    Rais Rouhani: Serikali itaendelea kuwa pamoja na wananchi walioathiriwa na tetemeko la ardhi

    Nov 14, 2017 13:06

    Rais Hassan Rouhani amesema: serikali haitawaacha peke yao wananchi walioathiriwa na tetemeko la ardhi; na kwa kuwa ni mtumishi wa wananchi itaendelea kuwa pamoja na wananchi hao.

  • Rais Rouhani aagiza kutolewa misaada zaidi kwa walioathirika na tetemeko la ardhi Iran

    Rais Rouhani aagiza kutolewa misaada zaidi kwa walioathirika na tetemeko la ardhi Iran

    Nov 13, 2017 12:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kutuma rambi rambi kufuatia kupoteza maisha wananchi katika mtetemeko mkubwa wa ardhi katika mikoa ya magharibi mwa Iran, ametoa amri ya kutumiwa uwezo wote wa serikali kuwasaidia waathirika wa zilzala hiyo.

  • Rouhani: Maadui wanataka kuzusha mgogoro mpya Mashariki ya Kati

    Rouhani: Maadui wanataka kuzusha mgogoro mpya Mashariki ya Kati

    Nov 11, 2017 12:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya njama zao kushindwa sasa maadui wanapanga mikakati ya kuzusha njama mpya katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Watawala wa Saudia wanajua vyema nguvu za Iran

    Rouhani: Watawala wa Saudia wanajua vyema nguvu za Iran

    Nov 08, 2017 11:59

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel daima zinayatakia mabaya mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na zinatumia visingizio vya aina mbalimbali kwa ajili ya kuwepo katika eneo hilo na kupora mafuta na utajiri wake.

  • Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja

    Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja

    Nov 03, 2017 23:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa katakata ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja, limeandika gazeti la Washington Post.

  • Rouhani: Russia ni mshirika wetu wa kiistratijia; Putin: JCPOA haina uhusiano wowote na miradi ya makombora ya Iran

    Rouhani: Russia ni mshirika wetu wa kiistratijia; Putin: JCPOA haina uhusiano wowote na miradi ya makombora ya Iran

    Nov 01, 2017 12:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Russia ni nchi rafiki, jirani na mshirika wa kiistratijia na kwamba Tehran ina hamu ya kuona uhusiano wake na Moscow unaimarika katika nyuga zote.

  • Rais Rouhani: Wamarekani wanataka kuwavunja moyo wananchi wa Iran

    Rais Rouhani: Wamarekani wanataka kuwavunja moyo wananchi wa Iran

    Oct 31, 2017 01:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wanataka kuwavunja moyo wananchi wa Iran kuhusu masuala yao ya kiuchumi na hiyo ndiyo njama yao kuu ya kuzuia maendeleo ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS