Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Iran itaendelea kushirikiana na IAEA, kufungamana na JCPOA

    Iran itaendelea kushirikiana na IAEA, kufungamana na JCPOA

    Oct 30, 2017 04:30

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kuna haja Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) uendelee kuwa chombo huru na kisichoegemea upande wowote akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wakala huo.

  • Rais Rouhani akataa mwaliko wa kukutana na kufanya mazungumzo na Trump

    Rais Rouhani akataa mwaliko wa kukutana na kufanya mazungumzo na Trump

    Oct 30, 2017 04:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa mwaliko wa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa New York kushiriki mkutano wa 72 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA.

  • Rouhani: Wamarekani wametiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa makombora wa Iran

    Rouhani: Wamarekani wametiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa makombora wa Iran

    Oct 29, 2017 12:41

    Rais Hassan Rouhani ameutaja kuwa ni kichekesho na dhihaka mwito wa Marekani wa kutaka kufanyika mazungumzo mapya kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuzalisha makombora kwa ajili ya kujilinda.

  • Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Oct 17, 2017 02:40

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kubakia Marekani peke yake kufuatia hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA ni kati ya mafanikio ya Iran

  • Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Oct 15, 2017 01:11

    Rais Hassan Rouhani amesema kustawisha na kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika hasa Nigeria ikiwa ni nchi rafiki na ya Kiislamu ni miongoni mwa misingi ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na akasisitiza kwamba mashirika makubwa ya Kiirani yako tayari kutekeleza miradi ya maendeleo nchini Nigeria.

  • Rouhani: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA madhara ya jambo hilo litaidhuru Marekani yenyewe

    Rouhani: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA madhara ya jambo hilo litaidhuru Marekani yenyewe

    Oct 11, 2017 13:23

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, madhara ya kujitoa huko yatawakumba Wamarekani wenyewe. Amesisitiza kuwa, Iran haitakwamishwa na jambo lolote katika kufikia malengo yake.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania afanya mazungumzo na Rais Rouhani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania afanya mazungumzo na Rais Rouhani

    Oct 11, 2017 13:20

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kustawisha uhusiano na nchi za Afrika ni katika misingi ya siasa za nje za Iran na amesisitiza kwamba, Tehran inakaribisha kwa mikono miwili suala la kuimarisha uhusiano na ushirikiano wake na nchi zote za Afrika ikiwemo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati

    Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati

    Oct 11, 2017 04:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati

    Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati

    Oct 11, 2017 01:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rais Rouhani: Mafanikio ya mapatano ya nyuklia ya Iran hayawezi batilishwa

    Rais Rouhani: Mafanikio ya mapatano ya nyuklia ya Iran hayawezi batilishwa

    Oct 07, 2017 10:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesistiza kuwa, manufaa ya mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA hayawezi batilishwa na yeyote duniani hata rais wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS