-
"Sera kuu ya Iran ni kupambana na ugaidi, kutekeleza JCPOA na kuimarisha uhusiano na EU"
Oct 04, 2017 01:09Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inatoa kipaumbele kwa kadhia ya kupambana na ugaidi pamoja na kudumisha makubaliano ya kihistoria ya nyuklia yanayojulikana kama JCPOA.
-
Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati
Oct 03, 2017 04:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Maadhimisho ya Wiki ya Kujihami Kutakatifu Iran yaanza kwa hotuba ya Rouhani
Sep 22, 2017 04:40Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema hakuna chochote kinachoweza kuizuia Jamhuri ya Kiislamu kuendelea kuimarisha uwezo wake wa makombora na mifumo ya kiulinzi.
-
Rais Rouhani: Misimamo ya Iran katika eneo na kuhusu JCPOA inaafikiwa na nchi zote
Sep 21, 2017 11:10Rais Hassan Rouhani amesema, mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Mataifa unaonyesha kuwa misimamo ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati, kuhusu JCPOA na kuhusiana na hatua zilizopigwa katika uhusiano wa kiuchumi wa Iran na dunia inaafikiwa na nchi zote.
-
Rouhani: Aliyeanza kukiuka JCPOA amechagua njia ya kutengwa; tunamsubiri Trump awaombe radhi wananchi wa Iran
Sep 21, 2017 00:12Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa makubaliano ya JCPOA si makubaliano ya pande mbili na kwamba nchi yoyote itakayoanza kukiuka makubaliano hayo na kukiuka ahadi zake itakuwa imechagua njia ya kutengwa.
-
Watu milioni 40 wanaishi utumwani kote dunia, wengi wako Afrika
Sep 19, 2017 23:35Uchunguzi mpya uliofanyika kote duniani umeonesha kuwa, watu zaidi ya milioni 40 wanaishi katika utumwa katika maeneo mbalimbali ya dunia hususan barani Afrika.
-
Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran
Sep 19, 2017 23:24Rais wa Ufaransa amesema nchi yake itatetea mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita duniani katika vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalokutana mjini New York.
-
Rais Rouhani ataka serikali ya Myanmar isitishe mauaji ya kimbari ya Waislamu
Sep 19, 2017 11:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni ya kusikitisha huku akisisitiza udharura wa kuishinikiza serikali ya Myanmar ili isitishe mauaji ya kimbari na ukandamizaji dhidi ya Waislamu Warohingya.
-
Rais Rouhani: Iran itatoa jibu kali kwa atakayekiuka haki ya mapatano ya JCPOA
Sep 18, 2017 03:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haitoanza kukiuka kwa aina yoyote makubaliano ya kimataifa, lakini ikiwa upande wa pili umekusudia kukiuka haki ya raia wa Iran, basi Tehran itatoa jibu kali katika uwanja huo.
-
Rais Rouhani wa Iran aelekea New York katika mkutano wa UN
Sep 17, 2017 03:21Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni kwa maslahi ya amani na uthabiti sio tu kwa eneo hili la Mashariki ya Kati bali kwa dunia nzima.