-
Kushadidi ushindani wa silaha za nyuklia kati ya Marekani na Russia na mustakbali wa mkataba wa New START
Nov 18, 2025 02:21Mvutano wa nyuklia kati ya Russia na Marekani umeongezeka kadiri muda wa mkataba wa nyuklia wa New START unavyokaribia kumalizika, na hivyo kuuweka mkataba huo katika mustakbali usiojulikana.
-
Kwa nini Marekani inataka Uturuki iachane na nishati ya Russia?
Nov 15, 2025 02:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameitaka Uturuki iache kununua nishati ya Russia.
-
Russia: Tumejiweka tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho vya kijeshi vya Magharibi
Nov 14, 2025 02:33Msemaji wa Ikulu ya Kremlin, Dmitry Peskov amesema, Moscow ina uelewa kamili kwamba nchi za Magharibi zinajizatiti upya kijeshi kwa makabiliano zinayoweza kuanzisha dhidi Russia, na kwamba Moscow nayo imeshajiweka tayari kikamilifu kwa sinario kama hiyo.
-
Ufaransa yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine
Oct 26, 2025 10:19Pars Today- Mkuu wa Komandi Kuu ya Jeshi la Ufaransa ametangaza kwamba ikiwa Russia na Ukraine zitafikia makubaliano ya kusitisha mapigano, Paris itakuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine kama sehemu ya kutoa dhamana za usalama kutoka kwa nchi za Magharibi.
-
Larijani aishukuru Russia kwa kuiunga mkono Tehran katika Baraza la Usalama
Oct 22, 2025 13:04Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amewasilisha kwa Russia shukrani za Jamhuri ya Kiislamu kutokana na hatua ya Moscow ya kuunga mkono msimamo wa haki za Tehran katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mkabala wa hatua ya nchi za Magharibi ya kurejeshea hatua kali za kiuchumi dhidii ya Iran.
-
Trump: Ukraine haiwezi kushinda vita dhidi ya Russia
Oct 21, 2025 11:26Rais wa Marekani, Donald Trump amesema haitakidi kwamba Ukraine inaweza kuibuka mshinda katika vita vyake na Russia.
-
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Oct 20, 2025 09:40Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusimamisha vita katika mstari wa mapigano zilipo hivi sasa, pendekezo ambalo litaiwezesha Moscow kuhodhi sehemu kubwa ya maeneo ya ardhi ya Ukraine.
-
Putin amuonya Trump kuhusu kuipa Ukraine makombora ya Tomahawk
Oct 17, 2025 07:05Rais wa Russia, Vladimir Putin amemuonya Rais wa Marekani, Donald Trump katika mazungumzo yao ya simu kwamba, kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu ya Tomahawk kutaharibu zaidi uhusiano kati ya Moscow na Washington.
-
Lavrov: Nchi za Magharibi zinachochea migawanyiko Afrika
Oct 15, 2025 11:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kivuli cha ukoloni kinasalia kuwa chanzo kikuu cha migogoro barani Afrika, na wakoloni wa zamani, sasa hivi wanajaribu kukwepa uwajibikaji kwa kuilaumu Moscow.
-
Putin: Israel imeniomba niipe Iran ujumbe kwamba haitaki vita
Oct 10, 2025 06:14Rais wa Russia, Vladmir Putin amesema viongozi wa Israel wamemtaka aieleze Iran kwamba, utawala huo haufuatilii vita na makabiliano zaidi na Iran, na una hamu ya kupunguza mvutano.