Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Aug 16, 2025 11:27

    Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu na uvumi kuhusu mkutano kati ya Marais Donald Trump wa Marekani na Vladimir Putin wa Russia kuhusu vita vya Ukraine, mkutano huo hatimaye ulifanyika Ijumaa, Agosti 15 huko Alaska.

  • Mawaziri maluuni wa kizayuni wanaweza kupandishwa kizimbani ICC katika kesi ya kwanza ya apatheidi

    Mawaziri maluuni wa kizayuni wanaweza kupandishwa kizimbani ICC katika kesi ya kwanza ya apatheidi

    Aug 16, 2025 06:00

    Maombi ya kutolewa waranti wa kuwatia nguvuni mawaziri wawili wa utawala wa kizayuni Israel wenye msimamo mikali ya chuki Itamar Ben-Gvir na Bezalel Smotrich kwa mashtaka ya kuhusika na ubaguzi wa rangi wa utenganishaji (apartheid) yamekamilika, lakini bado hayajawasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), kwa hofu ya vikwazo vya Marekani na mashinikizo kutoka nje.

  • UN yasema kunyimwa dhamana Besigye na mahakama ya Uganda kunatia hofu kubwa

    UN yasema kunyimwa dhamana Besigye na mahakama ya Uganda kunatia hofu kubwa

    Aug 14, 2025 13:06

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, (OHCHR), imesema mwenendo wa Mahakama Kuu ya Uganda wa kumnyima dhamana mara kwa mara kiongozi mkongwe wa upinzani nchini humo Kizza Besigye pamoja na msaidizi wake Obeid Lutale katika kesi inayowakabili ni jambo linalotia hofu kubwa.

  • Gachagua amshambulia vikali Raila, asema hula peke yake akawakumbuka wafuasi wakati wa uchaguzi

    Gachagua amshambulia vikali Raila, asema hula peke yake akawakumbuka wafuasi wakati wa uchaguzi

    Aug 12, 2025 07:42

    Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua amemshambulia vikali kwa maneno kinara wa chama cha ODM Raila Odinga akimuelezea kuwa ni mwanasiasa anayewania urais bila kuutaka wadhifa huo.

  • Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Aug 08, 2025 02:11

    Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.

  • Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Aug 06, 2025 03:55

    Naibu Mkuu wa Idara ya Masuala ya Dini ya Kiislamu ya Russia kwa ajili ya Masuala ya Kimataifa na Hija na Mufti wa Mkoa wa Moscow amesema: Waislamu wa Russia wanaitambua hatua ya Itamar Ben-Gvir ya kuvamia na kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa ya kichochezi.

  • Russia: Tutazidisha ushirikiano wetu na BRICS ili kukabiliana na vikwazo vya Marekani

    Russia: Tutazidisha ushirikiano wetu na BRICS ili kukabiliana na vikwazo vya Marekani

    Aug 05, 2025 07:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova ametangaza kuwa, Moscow iko tayari kuongeza ushirikiano na nchi wanachama wa kundi la kiuchumi la BRICS ili kukabiliana na mashinikizo ya vikwazo haramu vya Marekani.

  • Russia yalaani tishio jipya la Trump dhidi ya taasisi za nyuklia za Iran

    Russia yalaani tishio jipya la Trump dhidi ya taasisi za nyuklia za Iran

    Jul 31, 2025 07:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amelaani matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema: "Vitisho vya mara kwa mara dhidi ya Iran vya kufanya mashambulizi mapya ya makombora na kushambulia vituo vya nyuklia vya nchi hiyo vimeibua wasiwasi mkubwa."

  • Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Jul 24, 2025 06:42

    Kiongozi mkuu wa ujumbe wa Russia katika mazungumzo na Ukraine, Vladimir Medinsky amesema, viongozi wa nchi hizo mbili inapasa wakutane baada ya mkataba wa amani kuwa tayari kutiwa saini, si vinginevyo.

  • Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Jul 20, 2025 14:52

    Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa mara nyingine ametoa wito wa kufanyika mazungumzo binafsi kati yake na Rais Vladimir Putin wa Russia, akisema hiyo ndiyo njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS