Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  •  Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni

    Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni

    May 27, 2026 03:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema nchi yake inaunga mkono msukumo wa Afrika wa kutaka fidia kutoka kwa madola ya kikoloni. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Afrika mjini Moscow, Lavrov amesema suala hilo ni sehemu ya mapambano mapana dhidi ya ukoloni mambo-leo.

  • Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran

    Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran

    May 23, 2026 02:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.

  • Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    May 21, 2026 04:28

    Rais wa Russia, Vladimir Putin, na mwenzake wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping, wamekemea kwa pamoja vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakisisitiza kwamba njia pekee ya kumaliza mzozo huo unaotishia uthabiti wa kanda ni kupitia mazungumzo na diplomasia.

  • Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani

    Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani

    May 20, 2026 11:04

    Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa.

  • Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili

    Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili

    May 20, 2026 02:57

    Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.

  • Putin apongeza uzinduzi wa 'kombora lenye nguvu zaidi duniani'

    Putin apongeza uzinduzi wa 'kombora lenye nguvu zaidi duniani'

    May 14, 2026 03:24

    Russia imefanya majaribio ya kombora jipya la balestiki lenye uwezo wa kupiga shabaha kutoka bara moja hadi jingine, huku Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo akilitaja kombora hilo lenye uwezo wa kutumia silaha za nyuklia kwa jina la "Sarmat" kuwa kombora "lenye nguvu zaidi" duniani.

  • Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani

    Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani

    May 02, 2026 07:35

    Mufti Mkuu na Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia ameeleza kuwa, Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema: "Iwapo Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, kambi ya shetani haiwezi kamwe kurudia uchokozi dhidi ya Gaza, Syria, Iran na Lebanon."

  • Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon

    Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon

    Apr 29, 2026 09:49

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.

  • Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani

    Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani

    Apr 23, 2026 09:41

    Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo yuko tayari kukutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, lakini ikiwa mkutano wao utahusu suala la kusaini makubaliano ya amani.

  • Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Mar 13, 2026 04:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS