Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rais wa Ukraine aliagiza jeshi liue 'makumi ya maelfu ya Warusi'

    Rais wa Ukraine aliagiza jeshi liue 'makumi ya maelfu ya Warusi'

    Jan 28, 2026 10:19

    Jeshi la Ukraine linapaswa lijikite katika kusababisha vifo vingi zaidi kwa Russia kadiri iwezekanavyo. Hayo yametamkwa na Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky na kusisitiza kwamba, idadi ya vifo 50,000 vya Warusi kwa mwezi ni "kiwango bora" ambacho wanajeshi wa Ukraine wanapaswa wajitahidi kukifikia.

  • Medvedev: Yumkini mataifa mengi zaidi yakaunda silaha za nyuklia

    Medvedev: Yumkini mataifa mengi zaidi yakaunda silaha za nyuklia

    Jan 26, 2026 10:11

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia, Dmitry Medvedev amesema kuna uwezekano mataifa zaidi kuzalisha silaha za nyuklia kutokana na kuongezeka ukosefu wa utulivu duniani.

  • Putin: Denmark imekuwa ikiitazama Greenland kama koloni lake

    Putin: Denmark imekuwa ikiitazama Greenland kama koloni lake

    Jan 22, 2026 06:01

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema, Denmark imekuwa ikiichukulia Greenland kama koloni lake. Amesema hayo akitoa mtazamo wake kuhusu mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa 'kukinunua' kisiwa hicho cha Aktiki kinachojitawala.

  • Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani

    Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani

    Jan 21, 2026 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitizia tena haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Russia: Badala ya Ulaya kuzungumzia hali ya Iran ifuatilie kuiokoa Greenland

    Russia: Badala ya Ulaya kuzungumzia hali ya Iran ifuatilie kuiokoa Greenland

    Jan 15, 2026 10:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema, badala ya viongozi wa Umoja wa Ulaya, EU kutoa matamshi ya kuzungumzia hali ya Iran, ingekuwa bora kama wanegejikita kushughulikia kadhia ya Greenland, ambayo sasa hivi Marekani inafanya juu chini kuitia mkononi.

  • Medvedev 'amdhihaki' Trump: Usipoharakisha, Greenland itapiga kura ya kujiunga na Russia

    Medvedev 'amdhihaki' Trump: Usipoharakisha, Greenland itapiga kura ya kujiunga na Russia

    Jan 13, 2026 10:29

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia Dmitry Medvedev amesema, Wagreenland wanaweza kupiga kura ya maoni ya kujiunga na Russia ikiwa Rais wa Marekani Donald Trump hatachukua hatua haraka kukinyakua kisiwa hicho cha ncha ya kaskazini, Aktiki.

  • Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran

    Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran

    Jan 13, 2026 03:42

    Mbunge wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ambaye pia ni Mkuu wa Kamati ya Ulinzi katika Duma amekariri uungaji mkono wa nci yake kwa Iran na kusema Moscow inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi khususan uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Russia yalaani 'ndoto ya kuchukiza' ya Uingereza ya kutaka kumteka nyara Putin

    Russia yalaani 'ndoto ya kuchukiza' ya Uingereza ya kutaka kumteka nyara Putin

    Jan 12, 2026 06:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, amemkejeli Waziri wa Ulinzi wa Uingereza kwa kusema kwamba angependelea kumteka nyara Rais wa Russia Vladimir Putin.

  • Russia yalaani 'uharamia' wa Marekani wa kukamata meli yake ya mafuta

    Russia yalaani 'uharamia' wa Marekani wa kukamata meli yake ya mafuta

    Jan 08, 2026 06:28

    Moscow imelaani vikali kitendo cha Marekani cha kukamata meli ya mafuta yenye bendera ya Russia katika Bahari ya Atlantic, na kuitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Sheria ya Bahari.

  • Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Jan 01, 2026 10:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosoa vikali vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema jamii ya kimataifa inapinga sera hizo za vitisho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS