-
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
Dec 07, 2025 11:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametangaza kuwa Baraza la NATO na Russia limevunjwa rasmi huku kukiwa na wasiwasi wa kuibuka mivutano ya kijeshi kati ya pande hizo mbili.
-
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
Dec 07, 2025 02:24Rais Vladimir Putin wa Russia amefanya ziara nchini India kwa lengo la kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.
-
Russia: Tupo tayari kuisaidia Nigeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Nov 26, 2025 07:12Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa nchi hiyo ipo tayari kusaidia na kuung amkono juhudu za nigeria za kupambana na ugaidi. Bi Zakharova aidha amepongeza jitihada kubwa za serikali ya Abuja za kukabiliana na makundi yenye misimamo mikali.
-
Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia
Nov 21, 2025 09:00Uturuki imekataa ombi la Marekani la kuitaka Ankara isinunue gesi kutoka Russia na kusema kuwa, haiwezi kuacha kununua gesi ya Russia kwa sababu imesaini makubaliano ya gesi na nchi hiyo na itaendelea kuheshimu makubaliano hayo.
-
Kushadidi ushindani wa silaha za nyuklia kati ya Marekani na Russia na mustakbali wa mkataba wa New START
Nov 18, 2025 02:21Mvutano wa nyuklia kati ya Russia na Marekani umeongezeka kadiri muda wa mkataba wa nyuklia wa New START unavyokaribia kumalizika, na hivyo kuuweka mkataba huo katika mustakbali usiojulikana.
-
Kwa nini Marekani inataka Uturuki iachane na nishati ya Russia?
Nov 15, 2025 02:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameitaka Uturuki iache kununua nishati ya Russia.
-
Russia: Tumejiweka tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho vya kijeshi vya Magharibi
Nov 14, 2025 02:33Msemaji wa Ikulu ya Kremlin, Dmitry Peskov amesema, Moscow ina uelewa kamili kwamba nchi za Magharibi zinajizatiti upya kijeshi kwa makabiliano zinayoweza kuanzisha dhidi Russia, na kwamba Moscow nayo imeshajiweka tayari kikamilifu kwa sinario kama hiyo.
-
Ufaransa yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine
Oct 26, 2025 10:19Pars Today- Mkuu wa Komandi Kuu ya Jeshi la Ufaransa ametangaza kwamba ikiwa Russia na Ukraine zitafikia makubaliano ya kusitisha mapigano, Paris itakuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine kama sehemu ya kutoa dhamana za usalama kutoka kwa nchi za Magharibi.
-
Larijani aishukuru Russia kwa kuiunga mkono Tehran katika Baraza la Usalama
Oct 22, 2025 13:04Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amewasilisha kwa Russia shukrani za Jamhuri ya Kiislamu kutokana na hatua ya Moscow ya kuunga mkono msimamo wa haki za Tehran katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mkabala wa hatua ya nchi za Magharibi ya kurejeshea hatua kali za kiuchumi dhidii ya Iran.
-
Trump: Ukraine haiwezi kushinda vita dhidi ya Russia
Oct 21, 2025 11:26Rais wa Marekani, Donald Trump amesema haitakidi kwamba Ukraine inaweza kuibuka mshinda katika vita vyake na Russia.