Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mchambuzi wa Kirusi: Kuishambulia kijeshi Iran kutakuwa na mwisho wa kufedhehesha kwa Trump

    Mchambuzi wa Kirusi: Kuishambulia kijeshi Iran kutakuwa na mwisho wa kufedhehesha kwa Trump

    Mar 06, 2026 07:31

    Mkuu wa kituo cha tafiti maalumu za michakato ya kisiasa cha Russia amesema, uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran unafanyika kinyume cha sheria na akabainisha: “baada ya kuanza hujuma hii tumeshuhudia kuimarika umoja wa wananchi wa Iran kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa”.

  • Waafrika 1,700 wadaiwa kushiriki katika vita vya Russia, Ukraine

    Waafrika 1,700 wadaiwa kushiriki katika vita vya Russia, Ukraine

    Feb 26, 2026 04:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Andrii Sybiha amedai kwamba, zaidi ya Waafrika 1,700 wanapigana kwa niaba ya Russia katika vita vyake dhidi ya Ukraine, na kuongeza kwamba Moscow inatumia hadaa kuwasajili jeshini raia hao wa Kiafrika.

  • Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Feb 21, 2026 11:07

    Serikali ya Kenya imeitaka Russia iirejeshe nyumbani miili ya raia wake waliouawa na wale waliokamatwa kama wafungwa wa vita, ambao wameripotiwa kuwa walipiigania Russia katika vita na Ukraine.

  • Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    Feb 21, 2026 09:11

    Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.

  • Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine

    Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine

    Feb 20, 2026 07:12

    Russia imekanusha madai kwamba inawaajiri Wakenya kupigana vitani nchini Ukraine, kufuatia ripoti za Huduma ya Kijasusi ya Kitaifa ya Kenya kwamba zaidi ya Wakenya 1,000 kwa sasa wanapigana upande wa Russia katika mzozo huo.

  • Kremlin: Jeshi la majini la Russia kuzima 'uharamia' wa Magharibi

    Kremlin: Jeshi la majini la Russia kuzima 'uharamia' wa Magharibi

    Feb 18, 2026 06:24

    Afisa mwandamizi wa Ikulu ya Russia (Kremlin) ameonya kwamba, yumkini jeshi la wanamaji la nchi hiyo likatumwa kuzuia mataifa ya Magharibi kukamata meli za Urusi kama sehemu ya vikwazo dhidi ya usafirishaji wa mafuta ya Moscow.

  • Kremlin: Russia haina mpango wa kushiriki mkutano wa 'Bodi ya Amani'

    Kremlin: Russia haina mpango wa kushiriki mkutano wa 'Bodi ya Amani'

    Feb 13, 2026 02:03

    Ikulu ya Russia ya Kremlin imethibitisha kwamba maafisa wa nchi hiyo hawana mpango wa kuhudhuria mkutano wa kwanza wa Bodi ya Amani (ya Gaza) uliopangwa kufanyika Februari 19 huko Washington.

  • Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    Feb 11, 2026 10:29

    Serikali ya Russia imeonya kuhusu matokeo mabaya ya kuanzisha chokochoko yoyote dhidi ya Iran.

  • Ramaphosa na Putin wajadili suala la kuhitimisha vita kati ya Russia na Ukraine

    Ramaphosa na Putin wajadili suala la kuhitimisha vita kati ya Russia na Ukraine

    Feb 11, 2026 06:55

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ambapo pande hizo mbili zimejadili kuhusu suluhu inyoweza kufikiwa nchini Ukraine.

  • Trump apinga wito wa Putin wa kurefusha muda wa Mkataba wa New START

    Trump apinga wito wa Putin wa kurefusha muda wa Mkataba wa New START

    Feb 06, 2026 06:22

    Rais wa Marekani, Donald Trump amepinga pendekezo la Rais wa Russia, Vladimir Putin la kuongezwa kwa khiari muda wa Mkataba wa New START, unaoweka mipaka ya silaha za nyuklia, ambao muda wake ulimalizika jana Alkhamisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS