Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Jun 27, 2023 00:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono mamlaka ya kujitawala Russia na vile vile hatua zilizochukuliwa na serikali ya Moscow kukomesha uasi wa kundi la Wagner wa Juni 24.

  • Mapatano baina ya Kremlin na kundi la Wagner kwa upatanishi wa Aleksandr Lukashenko

    Mapatano baina ya Kremlin na kundi la Wagner kwa upatanishi wa Aleksandr Lukashenko

    Jun 26, 2023 12:01

    Hatimaye na katika kipindi cha chini ya siku moja, uasi wa kundi la wanamgambo wa Wagner linaloongozwa na Yevgeny Prigozhin umemalizika kwa upatanishi wa Rais Aleksandr Lukashenko wa Belerus.

  • Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Jun 24, 2023 07:49

    Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imekanusha madai ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba Russia inavuruga utulivu barani Afrika na kuituhumu Moscow kwamba imetuma makundi ya mamluki barani humo.

  • Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Jun 24, 2023 07:13

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov alitangaza Alhamisi iliyopita kwamba Moscow haidhani kuwa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ataruhusiwa kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS nchini Afrika Kusini, kwa sababu Paris inatekeleza sera ya chuki dhidi ya Moscow.

  • Ushirikiano wa kifedha baina ya Russia na Venezuela, sarafu ya dola ya Marekani yazidi kuwekwa kando

    Ushirikiano wa kifedha baina ya Russia na Venezuela, sarafu ya dola ya Marekani yazidi kuwekwa kando

    Jun 22, 2023 05:52

    Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, amepongeza hatua ya nchi hiyo kujiunga na mfumo wa malipo wa Russia "Mir" akiutaja utaratibu huu kuwa ni katika mkondo wa kuibuka kwa mtandao mpya na mbadala wa kifedha duniani wa kukabiliana na vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Venezuela.

  • Mwito wa Russia wa uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    Mwito wa Russia wa uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    Jun 20, 2023 23:11

    Ujumbe wa Russia umetoa mwito wa kuendelea kukusanywa taarifa na uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan. Mwito huo umetolewa katika kikao cha 53 cha Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa,

  • Sergei Lavrov:Hati ya usalama wa taifa wa Ujerumani ni kinyume ni maslahi ya raia wake

    Sergei Lavrov:Hati ya usalama wa taifa wa Ujerumani ni kinyume ni maslahi ya raia wake

    Jun 19, 2023 05:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameashiria hati mpya ya usalama wa taifa wa Ujerumani na kusema: Hati hiyo iko kinyume na maslahi na mantiki ya watu wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Jun 17, 2023 23:17

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.

  • Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Jun 17, 2023 08:36

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amepuuzilia mbali mapendekezo ya ujumbe wa viongozi wa Afrika ya kufanyika mazungumzo ya kusitisha vita na kutafuta amani ya kudumu katika eneo hilo.

  • Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Jun 16, 2023 04:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi hiyo inaweza tu kutumia silaha zake za nyuklia katika mazingira maalum ya kujihami.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS