Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Jun 16, 2023 03:03

    Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Balozi wa Iran nchini Russia: Nchi za BRICS zitakuwa na sarafu isiyokuwa dola

    Balozi wa Iran nchini Russia: Nchi za BRICS zitakuwa na sarafu isiyokuwa dola

    Jun 15, 2023 07:45

    Balozi wa Iran nchini Russia ameeleza kuwa mustakabali wa uchumi wa dunia utakuwa wa nchi za BRICS na kuwa nchihizo zitakuwa na fedha zao zisizotegemea dola.

  • Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Jun 14, 2023 22:53

    Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Jun 07, 2023 06:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema Marekani inaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan kwa lengo la kuliyumbisha eneo.

  • Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    May 28, 2023 21:54

    Rais wa Ukraine kwa mara nyingine tena ameitaka Iran isiipatie Russia ndege za kivita zisizo na rubani kauli ambayo ameitoa kwa kutegemea madai bandia ambayo yamepingwa mara kadhaa na Iran na pia Ukraine haijaweza kutoa ushahidi wowote wa maana kuhusu madai hayo.

  • Raia milioni 3.5 wa Ukraine wamekimbilia Russia tokea Februari 2022

    Raia milioni 3.5 wa Ukraine wamekimbilia Russia tokea Februari 2022

    May 28, 2023 03:05

    Zaidi ya raia milioni tatu na laki tano wa Ukraine wametorokea nchini Russia tangu operesheni ya kijeshi ya Moscow dhidi ya Kiev ianze mnamo Februari 2022.

  • Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    May 27, 2023 07:18

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa kuachana Ukraine na ndoto ya kujiunga na shirika la kijeshi la NATO na Umoja wa Ulaya EU ni miongoni mwa masharti ya Moscow ya kufanya suluhu na nchi hiyo.

  • Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    May 26, 2023 06:15

    Russia imeituhumu Marekani kuwa inataka kutumia magenge ya kigaidi nchini Afghanistan kwa shabaha ya kuvuruga uthabiti katika eneo zima la Asia ya Kati.

  • Kremlin yajibu vitisho vya Ukraine vya kumuua Rais wa Russia

    Kremlin yajibu vitisho vya Ukraine vya kumuua Rais wa Russia

    May 25, 2023 23:49

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema hatua ya watawala wa Ukraine ya kutishia kumuua kigaidi Rais Vladimir Putin wa Russia imeonyesha dhati ya ugaidi ya viongozi wa Kiev.

  • Maafisa wa Russia: Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh kwa ajili ya kufanya uharibifu dhidi ya Russia

    Maafisa wa Russia: Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh kwa ajili ya kufanya uharibifu dhidi ya Russia

    May 25, 2023 02:17

    Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi wa Kigeni ya Russia ameishutumu Marekani kwa kuikalia kwa mabavu sehemu ya ardhi ya Syria na kuwafunza magaidi wa Daesh (ISIS) jinsi ya kufanya hujuma dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS