Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yafungua kesi ya jinai dhidi ya mwendesha mashtaka mkuu wa ICC, majaji waliotoa hati ya kukamatwa Putin

    Russia yafungua kesi ya jinai dhidi ya mwendesha mashtaka mkuu wa ICC, majaji waliotoa hati ya kukamatwa Putin

    Mar 21, 2023 10:32

    Russia imefungua kesi ya jinai dhidi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu na majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kujibu waranti ya kukamatwa kwa Rais Vladimir Putin kwa tuhuma za uhalifu wa kivita.

  • Medvedev atishia kuishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai kwa kombora la hypersonic

    Medvedev atishia kuishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai kwa kombora la hypersonic

    Mar 21, 2023 07:02

    Naibu wa Baraza la Usalama la Russia ametishia kuishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi kwa kutumia kombora la hypersonic.

  • Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Mar 19, 2023 07:41

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, ambayo inajiona kuwa mahakama ya kwanza ya kudumu ya kimataifa inayoshughulikia uhalifu wa mauaji ya halaiki, jinai dhidi ya binadamu, jinai za kivita na uchokozi, Ijumaa iliyopita ilitoa waranti wa kimataifa wa kukamatwa Rais Vladmir Putin wa Russia.

  • Vassily Nebenzia: Tutafungua mahakama ya kimataifa ya uhalifu kuhusu Ukraine

    Vassily Nebenzia: Tutafungua mahakama ya kimataifa ya uhalifu kuhusu Ukraine

    Mar 18, 2023 14:20

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa ametoa matamshi yake kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya Rais na Kamishna wa Haki za Watoto wa Russia akisema Moscow inajiandaa kufungua kesi kuhusiana na Ukraine.

  • Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, China na Russia

    Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, China na Russia

    Mar 17, 2023 02:15

    Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, China na Russia yanayofanyika kwa anwani ya "Ukanda wa Amani wa Baharini 2023", yameakisiwa sana kimataifa na kuwa habari ya kwanza katika vyombo mashuhuri vya habari duniani.

  • Iran, China na Russia zafanya luteka ya pamoja katika Bahari ya Oman

    Iran, China na Russia zafanya luteka ya pamoja katika Bahari ya Oman

    Mar 16, 2023 11:25

    Vikosi vya majini vya Iran, Russia na China vinaendelea na mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Oman, huo ukiwa ni muendelezo wa juhudi za nchi tatu hizo za kuimarisha ushirikiano wa majeshi yao ya baharini.

  • Russia yasema itajibu chokochoko zozote tarajiwa za Marekani

    Russia yasema itajibu chokochoko zozote tarajiwa za Marekani

    Mar 16, 2023 09:53

    Kufuatia makabiliano ya kijeshi kati ya Russia na Marekani katika anga ya Bahari Nyeusi Jumanne ya juzi, Wizara ya Ulinzi ya Russia imesisitiza kuwa, taifa hilo litatoa majibu muafaka kwa uchokozi wowote tarajiwa wa Marekani.

  • Makabiliano ya kijeshi yasiyo ya kawaida kati ya Russia na Marekani katika anga ya Bahari Nyeusi

    Makabiliano ya kijeshi yasiyo ya kawaida kati ya Russia na Marekani katika anga ya Bahari Nyeusi

    Mar 16, 2023 04:15

    Kituo cha kamandi ya Marekani barani Ulaya kimetangaza kuwa Jumanne asubuhi, ndege ya kivita ya Russia aina ya Sukhoi Su-27 iligongana na ndege isiyo na rubani (droni) ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper katika anga ya Bahari Nyeusi, na kupelekea droni hiyo kuanguka kwenye maji ya kimataifa.

  • Mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya China, Iran na Russia yaanza katika Bahari ya Oman

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya China, Iran na Russia yaanza katika Bahari ya Oman

    Mar 15, 2023 07:58

    Wizara ya Ulinzi ya China imetangaza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya majini yanayoishirikisha nchi hiyo, Iran na Russia yatafanyika katika Bahari ya Oman kuanzia leo Jumatano hadi Machi 19.

  • Droni ya US yaanguka ikidaiwa kugongana na ndege ya kivita ya Russia, Moscow yakanusha

    Droni ya US yaanguka ikidaiwa kugongana na ndege ya kivita ya Russia, Moscow yakanusha

    Mar 15, 2023 07:23

    Jeshi la Marekani limedai kuwa ndege ya kivita ya Russia ilinasa propela ya ndege moja ya kijasusi isiyo na rubani ya nchi hiyo na kuifanya ianguke kwenye Bahari Nyeusi jana Jumanne katika makabiliano ya kwanza ya moja kwa moja kati ya madola hayo mawili tangu Russia ilipoanzisha operesheni za kijeshi nchini Ukraine mwaka mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS