-
Kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika Kusini: Russia inapambana na ubeberu, nitaipa silaha
May 24, 2023 08:03Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), chama cha tatu kwa ukubwa cha kisiasa nchini Afrika Kusini, amesema "ataipatia silaha Russia" katika mzozo wake na Ukraine kwa sababu Moscow iko "katika vita dhidi ya ubeberu".
-
Putin:Sera za Magharibi zimesababisha ukosefu wa amani duniani
May 24, 2023 07:20Rais wa Russia ameeleza kuwa katika hali ambayo Wamagharibi wanalenga kuzidisha hali ya wasiwasi na ukosefu wa usalama duniani; nchi huru kuanzia Asia hadi Afrika zinapaswa kusaidia katika usanifu usiogawanyika wa usalama duniani.
-
Syria: Rais Assad hatakutana na Erdogan mpaka Uturuki ikomeshe uvamizi na ukaliaji wa ardhi
May 22, 2023 06:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad amesema, uhusiano wa nchi hiyo na Uturuki hautarejea katika hali ya kawaida isipokuwa tu kama nchi hiyo itaondoka katika ardhi ya Syria.
-
Russia yaamuru kukamatwa Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu
May 20, 2023 02:50Kufuatia tuhuma za uwongo zilizotolewa na Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya Rais wa Russia, nchi hiyo imetoa amri ya kukamatwa mwendesha mashtaka huyo.
-
Russia yalaani kauli ya rais wa Ufaransa kuhusu uhusiano wa Moscow na China
May 16, 2023 02:48Maafisa wa Russia wamelaani matamshi ya rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba Moscow sasa inabadilika na kuwa kibaraka wa China.
-
Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani
May 14, 2023 10:28Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.
-
Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza
May 13, 2023 21:58Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa jeshi la Ukraine limewashambulia raia kwa kutumia makombora ya Uingereza.
-
Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake
May 11, 2023 07:54Kikao cha kwanza cha pande nne cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Syria, Uturuki na Iran kuhusiana na Syria kilifanyika Jumatano ya jana huko Moscow mji mkuu wa Rusia.
-
Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine
Apr 27, 2023 02:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga vita vya Ukraine na inaunga mkono juhudi za kusimamishwa vita na kurejea usalama na amani nchini humo.
-
Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka
Apr 22, 2023 08:15Balozi wa Russia mjini Washington amesema, udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka.