Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Apr 21, 2023 22:10

    Russia imeunga mkono mpango wa vipengee 12 uliopendekezwa na China kwa ajili ya kufikia amani kati yake na Ukraine.

  • Rais wa Russia: Tunatoa kipaumbele katika kupanua jeshi la wanamaji

    Rais wa Russia: Tunatoa kipaumbele katika kupanua jeshi la wanamaji

    Apr 17, 2023 21:59

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa suala la kustafidi na vikosi vya wanamaji ndio kipaumbele kikuu katika operesheni maalum za kijeshi zinazotekelezwa na Russia huko Ukraine, na kwamba kuongezwa idadi ya vikosi hivyo ni kati ya vipaumbele vingine vya Moscow.

  • Peskov: Ushindi wa Russia katika operesheni ya kijeshi Ukraine ni suala la kufa na kupona

    Peskov: Ushindi wa Russia katika operesheni ya kijeshi Ukraine ni suala la kufa na kupona

    Apr 14, 2023 03:07

    Msemaji wa ofisi ya rais wa Russia amesema, ushindi wa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine ni suala la kufa na kupona na kwamba kuendelea uingiliaji wa shirika la kijeshi la NATO katika vita vya Ukraine kunarefusha muda wa vita hivyo.

  • Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola

    Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola

    Apr 13, 2023 08:49

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 4 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika mkutano na viongozi na maafisa watendaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • "Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu", msisitizo wa Kiongozi Muadhamu juu ya jinsi Marekani inavyofaidika na vita vya Ukraine

    Apr 09, 2023 10:51

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 15 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Apr 08, 2023 22:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema mazungumzo yoyote ya amani ya Ukraine lazima yalenge kuanzisha "nidhamu mpya wa dunia" na kuzingatia "maslahi ya Russia na wasiwasi ilionao".

  • Marekani imekithirisha uwekaji wa silaha zake za nyuklia katika bara la Ulaya

    Marekani imekithirisha uwekaji wa silaha zake za nyuklia katika bara la Ulaya

    Apr 08, 2023 22:46

    Shirika la habari la Sputnik limetangaza kuwa Marekani imekithirisha uwekaji silaha zake za nyuklia barani Ulaya.

  • Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Apr 07, 2023 04:49

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa siku ya Jumatano aliwasili Beijing kwa ziara ya siku tatu nchini China. Ziara hiyo ni ya kwanza kufanywa na Macron nchini China tangu mwaka 2019. Rais huyo wa Ufaransa jana alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Xi Jinping.

  • Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Apr 06, 2023 22:50

    Akizungumzia kufeli kwa shughuli za Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO), msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema wakati wa kustaafu muungano wa NATO umewadia.

  • Lavrov: Russia na Marekani sasa zimeingia kwenye awamu ya Vita Moto

    Lavrov: Russia na Marekani sasa zimeingia kwenye awamu ya Vita Moto

    Apr 06, 2023 03:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amebainisha kuwa, nchi hiyo na Marekani sasa zimeingia katika awamu ya vita moto kutokana na muendelezo wa utumaji silaha kutoka nchi za Magharibi hususan Marekani kuelekea Ukraine kwa kisingizio cha vita katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS