-
Vikwazo vya dhahiri vya Magharibi dhidi ya Russia na ushirikiano mkubwa rasmi nyuma ya pazia
Apr 05, 2022 04:12Nchi za Ulaya zimetangaza vikwazo vya kila namna dhidi ya Russia kwa sababu ya vita vya Ukraine lakini nchi hizo hizo za Magharibi zenyewe zinarejea mlango wa nyuma na kuvunja vikwazo vyao zenyewe. Awali nchi za Ulaya zilipinga vikali kununua mafuta na gesi ya Russia kwa sarafu ya Ruble lakini hivi sasa zimelegeza misimamo hata katika suala hilo nalo.
-
Wajerumani, Wacyprus na Wagiriki waandamana kuinga mkono Russia
Apr 05, 2022 03:42Wananchi wa Ujerumani, Cyprus na Ugiriki wamefanya maandamano wakiiunga mkono Russia na kupinga hatua zilizochukuliwa na madola ya Magharibi na vikwazo vyao dhidi ya nchi hiyo.
-
Russia: Marekani imekiuka mkataba wa silaha za kibaolojia
Apr 04, 2022 21:51Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Dmitry Polyansky, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini New York kwamba shughuli za kijeshi za kibaolojia za Marekani nchini Ukraine zinakiuka Mkataba wa Silaha za Kibaolojia.
-
Safari ya Lavrov nchini India na sisitizo la kutumiwa sarafu ya Ruble katika biashara
Apr 03, 2022 02:33Sergey Viktorovich Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amefanya ziara ya siku mbili ya kuitembelea kikazi India na kuonana na waziri mwenzake wa nchi hiyo Subrah Jaishankar na waziri mkuu wa India Narendra Modi.
-
Russia yafichua mengi kuhusu nafasi ya mtoto wa Biden katika utengenezaji wa silaha za kibaolojia Ukraine
Apr 01, 2022 22:02Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa nyaraka zilizopatikana kutoka kwenye barua pepe za mtoto wa Rais wa Marekani zinaonyesha kwamba alikuwa na nafasi muhimu katika utengenezaji wa silaha za kibiolojia nchini Ukraine.
-
Mazungumzo ya Istanbul na sisitizo la uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya
Mar 30, 2022 21:58Duru mpya ya mazungumzo kati ya wajumbe wa Russia na Ukraine ilifanyika mjini Istanbul, Uturuki siku ya Jumanne iliyopita. Baada ya mazungumzo na Russia, mkuu wa ujumbe wa Ukraine, David Arakhamia, alisema kuwa hakuna mtu anayeweza kuizuia Ukraine kujiunga na Umoja wa Ulaya.
-
Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika
Mar 29, 2022 22:30Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.
-
China yaikosoa Magharibi kwa sera za kindumakuwili kuhusu haki za binadamu
Mar 29, 2022 22:29China imezishutumu nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kindumakuwili kwa kushughulikia kwa wakati haki za binadamu za watu wanaokimbia vita vya Russia na Ukraine na kupuuza haki za wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati, Afrika na Amerika ya Kusini.
-
Russia: Ukraine imegeuzwa kimbilio la magaidi na mamluki wa kimataifa
Mar 27, 2022 06:01Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria kufanikiwa malengo ya operesheni ya kijeshi ya nchi hiyo nchini Ukraine kwa asilimia kubwa na kufichua kuwa, maelfu ya magaidi na mamluki wa nchi ajinabi wamekimbilia katika nchi hiyo ya Ulaya mashariki.
-
Kremlin: Biden hana uwezo na mamlaka ya kuamua nani Rais wa Russia
Mar 27, 2022 03:26Ikulu ya Russia ya Kremlin imejibu bwabwaja na matamshi ya kijuba ya Rais Joe Biden wa Marekani aliyedai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia hatosalia madarakani.