-
Russia: Marekani itoe maelezo kuhusu nafasi ya mtoto wa Biden katika maabara za silaha za kibaolojia huko Ukraine
Mar 25, 2022 22:34Russia imetaka ipewe maelezo kutoka kwa Marekani kuhusu jukumu la mtoto wa Rais Joe Biden wa nchi hiyo katika maabara za kibaolojia nchini Ukraine.
-
Kikao cha wakuu wa NATO na kung'ang'ania msimamo wa kiuadui dhidi ya Russia
Mar 25, 2022 21:52Kikao cha dharura cha wakuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO kilifanyika juzi Alkhamisi mjini Brussels, Ubelgiji ambayo ndio makao makuu ya Umoja wa Ulaya. Katika siku za hivi karibuni, Brussels imekuwa mwenyeji wa vikao vitatu ambavyo ni cha wakuu wa NATO, cha G7 na cha Umoja wa Ulaya.
-
Vita vya Ukraine na mgogoro wa chakula duniani
Mar 24, 2022 21:57Zaidi ya nchi 40 zimetia saini barua ya kutaka kuitishwe mkutano wa dharura wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ili kukabiliana na mgogoro wa chakula, ambao huenda ukazidishwa na vita vya Ukraine.
-
Lavrov awashutumu Wamagharibi kwa kutoshughuliswa na wananchi wa Ukraine
Mar 23, 2022 23:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezishutumu Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutoshughulishwa na wananchi wa Ukraine na wala mambo yaliyopelekea kutokea vita nchini humo.
-
Kremlin: Russia itatumia silaha za nyuklia uwepo wake ukitishiwa
Mar 23, 2022 07:18Ikulu ya Russia ya Kremlin imesema nchi hiyo haitakuwa na chaguo jingine isipokuwa kutumia silaha za nyuklia iwapo uwepo wa taifa hilo utakabiliwa na vitisho.
-
Sudan yakadhibisha madai ya kuwepo mamluki wa Russia nchini humo
Mar 22, 2022 22:14Serikali ya Sudan imepuuzilia mbali madai ya Wamagharibi wanaodai kuwa, kuna mamluki wa Kundi la Wagner la Russia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Russia yajibu madai ya Biden ya matumizi ya silaha za kibaolojia nchini Ukraine
Mar 22, 2022 08:24Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Ryabkov amesema Jumanne leo kwamba matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden kuhusu uwezekano wa Russia kutumia silaha za kemikali na za kibaolojia huko Ukraine ni ya kihabithi.
-
Ujerumani yasaini mkataba wa kununua gesi kutoka Qatar ili 'kupunguza utegemezi' wa gesi ya Russia
Mar 21, 2022 22:59Kwa kisingizio cha kupunguza utegemezi wa gesi ya Russia, Ujerumani imesaini mkataba wa kununua gesi kutoka Qatar.
-
Shutuma za Russia kwa Marekani inayokwamisha mazungumzo ya Ukraine
Mar 21, 2022 22:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergeĭ Viktorovich Lavrov ameishutumu vikali Marekani kwa siasa zake kuhusu vita vya Ukraine na kusema kuwa, Washington ndiyo inayokwamisha kufikiwa makubaliano baina ya Moscow na Kyiv hata katika masuala madogo kabisa. Amesema, hivi sasa Marekani inawatwisha viongozi wa Ukraine misimamo yake na ndio maana Kyiv inakwamisha kila kitu katika mazungumzo yake na Russia.
-
Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati
Mar 19, 2022 02:35Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.