Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Ramaphosa: NATO ndiyo ya kulaumiwa kwa vita vya Russia nchini Ukraine

    Ramaphosa: NATO ndiyo ya kulaumiwa kwa vita vya Russia nchini Ukraine

    Mar 18, 2022 11:31

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameilaumu NATO kwa vita vya Ukraine na kusema kuwa atapinga wito wa kuilaani Russia. Matamshi haya ya Ramaphosa yanatia shaka iwapo atakubaliwa na Ukraine au nchi za Magharibi kama mpatanishi katika mzozo huo.

  • Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Migogoro yote duniani inapasa ipewe umuhimu

    Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Migogoro yote duniani inapasa ipewe umuhimu

    Mar 18, 2022 04:07

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema, wakati macho yote yameelekezwa kwenye mgogoro wa Ukraine, zaidi ya nusu ya idadi ya watu nchini Afghanistan wanahitaji msaada.

  • Russia yaangamiza mifumo 11 ya ulinzi wa makombora ya jeshi la Ukraine

    Russia yaangamiza mifumo 11 ya ulinzi wa makombora ya jeshi la Ukraine

    Mar 17, 2022 19:03

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetoa taarifa ikibainisha kuhusu mchakato wa mashambulizi ya nchi hiyo huko Ukraine na kutangaza kuwa, katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita imeangamiza ndege mbili za kivita, droni 12 na ghala moja la kijeshi la Ukraine.

  • Vituo vya Kiislamu vya Russia vyalaani mashambulizi ya kipropaganda ya Magharibi dhidi ya nchi hiyo

    Vituo vya Kiislamu vya Russia vyalaani mashambulizi ya kipropaganda ya Magharibi dhidi ya nchi hiyo

    Mar 17, 2022 05:21

    Vituo vya Kiislamu vya Russia vimelaani propaganda za chuki za nchi za Magharibi dhidi ya Moscow na ubaguzi dhidi ya raia wa Russia.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Mar 17, 2022 03:08

    Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aliwasili mjini Moscow siku ya Jumanne akiongoza ujumbe wa ngazi za juu kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Sergey Lavrov, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Russia kuhusu masuala ya pande mbili, mazungumzo ya Vienna, Ukraine, Syria, Yemen na Afghanistan.

  • Lavrov: Kwa hakikisho la maandishi la US, vikwazo vya Magharibi havitaathiri ushirikiano wa Russia na Iran

    Lavrov: Kwa hakikisho la maandishi la US, vikwazo vya Magharibi havitaathiri ushirikiano wa Russia na Iran

    Mar 15, 2022 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio cha vita vya Ukraine havitaathiri ushirikiano wa Moscow na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Amir-Abdollahian: Kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Iran

    Amir-Abdollahian: Kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Iran

    Mar 15, 2022 10:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, bila kujali matukio na mabadiliko yoyote yanayojiri kimataifa, kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Mar 14, 2022 04:43

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Marekani kuhusu mashambulio ya Russia dhidi ya Ukraine, na pande hizo mbili zimekubaliana kuzidisha vikwazo dhidi ya Moscow.

  • Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Mar 13, 2022 23:23

    Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.

  • Russia: Marekani na washirika wake wanaunda silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Russia: Marekani na washirika wake wanaunda silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 12, 2022 22:49

    Russia imekutaja kuwepo kwa shughuli za kibaolojia nchini Ukraine kuwa ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na kutangaza kuwa, ina nyaraka zinazothibitisha kuwepo kwa maabara 30 za kibaolojia zenye kemikali za vimelea vinavyosababisha magonjwa hatari kama tauni na kimeta kupitia ndege wanaohama kati ya Ukraine na Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS