Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya

    Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya

    Mar 12, 2022 07:13

    Sambamba na kuendelea vita huko Ukraine, kuwepo kwa vikosi na wapiganaji wa kigeni kumevipa vita hivyo sura na mwelekeo mpya. Ni baada ya Rais Vladimir Putin wa Russia kuafiki suala la kuwezesha wapiganaji na vikosi vya kujitolea vinavyounga mkono nchi hiyo kushiriki katika vita vya Ukraine.

  • Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 11, 2022 08:19

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litafanya kikao cha dharura leo kwa ombi la Russia kujadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine. Ni baada ya Moscow kuzishutumu Kyiv na Washington kwamba zimekuwa zikitengeneza silaha za kibaolojia za kueneza magonjwa hatari kwa kutumia wanyama, jambo ambalo Marekani na Ukraine zimelikanusha.

  • Russia: Shambulio dhidi ya hospitali ya watoto ni

    Russia: Shambulio dhidi ya hospitali ya watoto ni "habari feki"

    Mar 10, 2022 08:47

    Russia imekanusha habari kuwa imeshambulia hospitali ya watoto katika mji wa Mariupol nchini Ukraine na kutangaza kuwa, jengo linalodaiwa kushambuliwa lilikuwa liimeshatekwa na askari wake kabla ya shambulio hilo.

  • Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Mar 09, 2022 04:38

    Huku mgogoro ukizidi kuwa mkubwa baina ya Russia na nchi za Magharibi hususan kutokana na kupamba moto mapigano nchini Ukraine, mashinikizo yanayotokana na vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia nayo yameongezeka.

  • Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Mar 07, 2022 08:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo na si kwa mujibu wa jumbe zisizo wazi za Marekani katika mazungumzo ya Vienna.

  • Ulyanov: Ziara ya Rafael Grossi nchini Iran imefanikiwa

    Ulyanov: Ziara ya Rafael Grossi nchini Iran imefanikiwa

    Mar 07, 2022 00:47

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna, Austria amesema kuwa safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) nchini Iran imefanikiwa.

  • Russia yakishambulia kituo cha anga cha Ukraine kwa silaha za masafa marefu

    Russia yakishambulia kituo cha anga cha Ukraine kwa silaha za masafa marefu

    Mar 06, 2022 08:03

    Russia imesema kuwa imekipiga na kukilemaza kituo cha kijeshi cha Ukraine cha Starokostiantyniv kwa kutumia silaha za masafa marefu zenye kulenga kwa umakini, huku mgogoro kati ya nchi mbili hizo vikiingia katika siku yake ya 11.

  • Ripoti: Yamkini mgogoro wa Ukraine ukaiingiza Marekani na Russia vitani

    Ripoti: Yamkini mgogoro wa Ukraine ukaiingiza Marekani na Russia vitani

    Mar 06, 2022 04:28

    Huku Marekani na waitifaki wake wakiendelea kuichochea Ukraine ili ikabiliane na oparesheni za kijeshi za Russia ndani ya nchi hiyo, maafisa wa Marekani wameingiwa na wasiwasi mkubwa kuwa kuna uwezekano wa makabiliano baina ya wanajeshi wa Russia na Marekani na hilo linaweza likapelekea kuibuka vita vikubwa baina ya pande hizo.

  • Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Mar 06, 2022 01:19

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 00:52

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS