-
Spika wa Bunge la Russia: Rais wa Ukraine amekimbilia Poland
Mar 05, 2022 04:02Spika wa Bunge la Russia maarufu kwa jina la Duma amesema kuwa, Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amekimbilia nchi jirani ya Poland.
-
Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine
Mar 04, 2022 04:34Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".
-
Russia: Tumeangamiza zaidi ya vituo 1,300 vya kijeshi vya Ukraine katika siku ya sita ya vita
Mar 02, 2022 03:51Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa katika siku ya sita ya opereseheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imeangamiza vituo zaidi ya 1,300 vya kijeshi vya Ukraine na aina kwa aina ya miundombinu ya kijeshi ya nchi hiyo.
-
Raia wa Russia wakwama na kutangatanga katika viwanja vya ndege vya nchi za Ulaya
Mar 02, 2022 00:06Vyombo vya habari vya Russia vimetangaza kuwa, raia wa nchi hiyo wanatangatanga katika viwanja vya ndege vya nchi za Ulaya kufuatia uamuzi wa Umoja wa Ulaya kuiwekea Russia vikwazo vya anga.
-
Mazungumzo ya Russia na Ukraine yamalizika huko Belarus, haijulikani kama yataendelea au la
Feb 28, 2022 10:22Televisheni ya taifa ya Russia imetangaza kuwa duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya wajumbe wa nchi hiyo na Ukraine imemalizika nchini Belarus, lakini haijafahamika iwapo mazungumzo hayo yataendelea au la.
-
Zakharova: Oparesheni za Kijeshi za Russia nchini Ukraine si uvamizi
Feb 27, 2022 04:27Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, muungano wa kijeshi wa NATO haupaswi kuzitaja oparesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine kuwa ni uvamizi.
-
Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia
Feb 27, 2022 00:22Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.
-
Umoja wa Afrika wataka kusimamishwa mgogoro wa Ukraine
Feb 25, 2022 11:17Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mgogoro wa Ukraine.
-
Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia
Feb 25, 2022 10:03Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.
-
Serikali ya Iran: Vita si suluhisho la mgogoro wowote ule
Feb 25, 2022 03:26Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita si suluhisho la tatizo lolote lile. Amesema hayo ikiwa ni kutangaza msimamo wa serikali ya Iran kuhusu vita baina ya Russia na Ukraine huko mashariki mwa Ulaya.